Nilishawahi kufanyiwa pale TMJ siku nyingi kidogo (mwaka 2008), nadhani watakuwa bado wanafanya. Gharama sikumbuki..maana mwajili alilipia. Ukikosa mtu wa kutoa hint nenda pale nadhani gharama watakujuza.
Nilishawahi kufanyiwa pale TMJ siku nyingi kidogo (mwaka 2008), nadhani watakuwa bado wanafanya. Gharama sikumbuki..maana mwajili alilipia. Ukikosa mtu wa kutoa hint nenda pale nadhani gharama watakujuza.