Kwa walio Tanga

Kwa walio Tanga

A.J

Senior Member
Joined
Jun 9, 2015
Posts
140
Reaction score
147
Habari zenu wana jamvi, kama kuna mtu yupo maeneo ya Tanga mjini ningependa kuonana naye hata tubadilishane mawili matatu hata kujuana zaidi sisi kama wanajamii wa JamiiForums.
 
Wachakarikaji wamepakimbia huko wameenda dar... Hao waliobaki huko watakuambukiza uvivu tu.
 
Wachakarikaji wamepakimbia huko wameenda dar... Hao waliobaki huko watakuambukiza uvivu tu.
Dah kweli kaka, watu wa huku walio na maendeleo ni wageni hata sehem zinazoanza kujengwa jengwa ni nje ya jiji. Bado kuna kau mwinyi flan huku ndiomaana hakujaendelea sana kwakwel.
 
Tupe uhakika kwanza mtu kama akija uhakika wa kurudi upo?
Maana tanga waja leo ila kurudi ni majaaliwa.tena ukiwa mtu wa kutoka bara ndo kabisaa unagoma kurudi kwenu.
 
Njoo Tanga kaka, mi mwenyewe nilkuwa napenda sana hiz toto nyeupe na toto za kipenda lakini mmmmh, No kwa sasa.
Sasa sina mwenyeji we chakufanya nitumie namba ya pini kali ya huko ambayo itakua radhi kuja Mbeya, Mtwara na Dar.
 
No kisa nn
Mwenyeji wangu ameshanipa somo kuhus wadada wa huku coz alishaanza kuniona naleta ujuaji. Wadada wa huku ni cheap sana mzee, alaf hawasemagi kama wameolewa huo ndio mwanzo wa kurushiwa jini na kupewa kichomi au busha kabisa.
 
Tupe uhakika kwanza mtu kama akija uhakika wa kurudi upo?
Maana tanga waja leo ila kurudi ni majaaliwa.tena ukiwa mtu wa kutoka bara ndo kabisaa unagoma kurudi kwenu.
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
😀😀😂 Ukakika wa kurudi upo mbona, kuna pis kali huku ila ujitahid ufunge zipu tuu.
 
Mwenyeji wangu ameshanipa somo kuhus wadada wa huku coz alishaanza kuniona naleta ujuaji. Wadada wa huku ni cheap sana mzee, alaf hawasemagi kama wameolewa huo ndio mwanzo wa kurushiwa jini na kupewa kichomi au busha kabisa.
Duh! Ngoja niahirishe safari ya Tanga niende Mombasa.
 
Naskia ni kama watanga tu.
Nao wana haya mambo ya ushirikina sana? Sababu nataka niende coastal city moja,Kuna Kilwa,Bagamoyo,Zanzibar, Mombasa na Tanga.Mwanzoni nilichagua Tanga ila kwa maelezo yako nimeghairi So nataka niende Mombasa. Nayo ikishindikana ntachagua eneo lingine.
 
Nje ya mada. Juzi nilionana na mwanaJF musoma lakini hatukupeana namba za simu. Tuligonga mtungi kila mmoja akachukua time yake. Kuna wawili pia nillionana nao Arusha kwa nyakati tofauti hali ikawa hivo hivo.
 
Nao wana haya mambo ya ushirikina sana? Sababu nataka niende coastal city moja,Kuna Kilwa,Bagamoyo,Zanzibar, Mombasa na Tanga.Mwanzoni nilichagua Tanga ila kwa maelezo yako nimeghairi So nataka niende Mombasa. Nayo ikishindikana ntachagua eneo lingine.
Bro kwaufupi maeneo ya pwani huko kuna ushirikina na uswahili uswahili sana. Huku Tanga waganga kibao, huko bagamoyo pia vile vile
 
Bro kwaufupi maeneo ya pwani huko kuna ushirikina na uswahili uswahili sana. Huku Tanga waganga kibao, huko bagamoyo pia vile vile
Ntachagua penye afadhali kama Zanzibar hivi
 
Back
Top Bottom