Kwa walioa tu: Hakikisha kila siku unaipiga sana, inasaidia sana kuweka akili sawa

Kwa walioa tu: Hakikisha kila siku unaipiga sana, inasaidia sana kuweka akili sawa

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Hakikisha kila siku unaipiga sana. Inasaidia sana kuweka akili sawa. Sio unakuja kazini umekunja ndita. Makasiriko kazini hatutaki. Behave & fulfill your kuipiga responsibility.

Wazee wetu walioipiga sana waliishi umri mrefu.

Mada hii haiwahusu mabachala hasa wale timu kataa ndoa.

Uzi au sledi tayari.
 
Hakikisha kila siku unaipiga sana. Inasaidia sana kuweka akili sawa. Sio unakuja kazini umekunja ndita. Wazee wetu walioipiga sana waliishi umri mrefu. Mada hii haiwahusu mabachala hasa wale timu kataa ndoa.
Uzi au sledi tayari.
Pia sema usioe mke mmoja

Oa kulingana na uwezo wako , wawili,watatu au wanne.

Hii huleta ahueni na kupunguza chuki za kijinga juu ya mke wako
 
kweli mkuuu....sisi ma mambaz tunakojoa pazuriii
FB_IMG_1733372771036.jpg
 
Mazoea ujenga tabia, ukisafiri je nani atakuwa anampa
Haijalishi mara ngapi, hakikisha ukicheza sio tu magori, bali pia mechi inakuwa na burudani na mbwembwe (dribble na showboating) za kutosha.

Wajuzi wamenielewa, ile kitu ni sanaa, ifanye sanaa yako iwe ya kuvutia na kuacha impession nzuri, kiasi kwamba audience yako inakuwa haina interest na wasanii wengine
 
Mazoea ujenga tabia, ukisafiri je nani atakuwa anampa
Haijalishi mara ngapi, hakikisha ukicheza sio tu magori, bali pia mechi inakuwa na burudani na mbwembwe (dribble na showboating) za kutosha.

Wajuzi wamenielewa, ile kitu ni sanaa, ifanye sanaa yako iwe ya kuvutia na kuacha impession nzuri, kiasi kwamba audience yako inakuwa haina interest na wasanii wengine
usipopiga siku ya kufa kama utajiona utajutia
 
Back
Top Bottom