Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Budget resort? Si mgeni wa eneo hilobudget kunduchi mkuu
Nitafanya muamala ,nipe code nani mpokeaji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Budget resort? Si mgeni wa eneo hilobudget kunduchi mkuu
Tafuta hela mjomba acha biashara ya kupambana na ulikotoka.Hakikisha kila siku unaipiga sana. Inasaidia sana kuweka akili sawa. Sio unakuja kazini umekunja ndita. Makasiriko kazini hatutaki. Behave & fulfill your kuipiga responsibility.
Wazee wetu walioipiga sana waliishi umri mrefu.
Mada hii haiwahusu mabachala hasa wale timu kataa ndoa.
Uzi au sledi tayari.
Siyo tuu kwaajili ya kuweka akili sawa. Bali ni kumuweka pia mkeo atulie . Wanawake wanapenda kupigwa sana lile sikio ila hawawezi kusemaHakikisha kila siku unaipiga sana. Inasaidia sana kuweka akili sawa. Sio unakuja kazini umekunja ndita. Makasiriko kazini hatutaki. Behave & fulfill your kuipiga responsibility.
Wazee wetu walioipiga sana waliishi umri mrefu.
Mada hii haiwahusu mabachala hasa wale timu kataa ndoa.
Uzi au sledi tayari.
Mtu ana majerejesho vikoba zaidi ya nane anasema nini huyu mkuu🤣Kwa wanawake gani, hawa wanaokupa kwa ratiba yao?
Kuna takwimu inasema kwamba wakristo wengi wana upungufu nguvu za kiume
Huna hela ya kunilipa we fala. Ndio maana nakuambia tafuta hela maana kwa hii sms uko nje ya kanuni ya mtu mwenye uwezo. Wewe ni mchovu uliyechangamka. Ngoja nikutumie account ya watoto yatima uwatumie mshamba wewenaweza nikakulisha wewe na ukoo wako wote kwa miaka 30 ijayo. ipige ndio mada iliyopo mezani. kama huamini weka namba yako ya akaunti niweke muamala
wakala wa vipimo wahusishwe haiwezekani upimaji wa mizani ya kutolea huduma uishie road tuMkuu hivi shida inakuwa nn wanandoa kunyimana... Yan hii ipo 90% kwa wanandoa mke kumkadilia mume. Yan mume hana uhuru wa asilimia zote kuipata kwa muda wowote anaotaka...
tuma akaunti kijana nikutumie hela ya kutosha urudi hapa kutoa ushahidi. waulize wenzio humu waliobahatika kuonana na mimi avatar isikudanganye. Au sema unapatikana wapi niwaagize vijana wakuletee kibundaHuna hela ya kunilipa we fala. Ndio maana nakuambia tafuta hela maana kwa hii sms uko nje ya kanuni ya mtu mwenye uwezo. Wewe ni mchovu uliyechangamka. Ngoja nikutumie account ya watoto yatima uwatumie mshamba wewe
Dah hii code ngum mkuuwakala wa vipimo wahusishwe haiwezekani upimaji wa mizani ya kutolea huduma uishie road tu
Kupiga ipi sasa, ya nyumbani au ya nje! Maana, wengine ya nyumbani ipo Morogoro, mie nipo liwaleee Lindi! Naipiga kwa kubeep tu!Hakikisha kila siku unaipiga sana. Inasaidia sana kuweka akili sawa. Sio unakuja kazini umekunja ndita. Makasiriko kazini hatutaki. Behave & fulfill your kuipiga responsibility.
Wazee wetu walioipiga sana waliishi umri mrefu.
Mada hii haiwahusu mabachala hasa wale timu kataa ndoa.
Uzi au sledi tayari.
OkeePia sema usioe mke mmoja
Oa kulingana na uwezo wako , wawili,watatu au wanne.
Hii huleta ahueni na kupunguza chuki za kijinga juu ya mke wako