Kwa walioa tu: Hakikisha kila siku unaipiga sana, inasaidia sana kuweka akili sawa

Kwa walioa tu: Hakikisha kila siku unaipiga sana, inasaidia sana kuweka akili sawa

Hakikisha kila siku unaipiga sana. Inasaidia sana kuweka akili sawa. Sio unakuja kazini umekunja ndita. Makasiriko kazini hatutaki. Behave & fulfill your kuipiga responsibility.

Wazee wetu walioipiga sana waliishi umri mrefu.

Mada hii haiwahusu mabachala hasa wale timu kataa ndoa.

Uzi au sledi tayari.
Tafuta hela mjomba acha biashara ya kupambana na ulikotoka.
 
Tafuta hela mjomba acha biashara ya kupambana na ulikotoka.
naweza nikakulisha wewe na ukoo wako wote kwa miaka 30 ijayo. ipige ndio mada iliyopo mezani. kama huamini weka namba yako ya akaunti niweke muamala
 
Hakikisha kila siku unaipiga sana. Inasaidia sana kuweka akili sawa. Sio unakuja kazini umekunja ndita. Makasiriko kazini hatutaki. Behave & fulfill your kuipiga responsibility.

Wazee wetu walioipiga sana waliishi umri mrefu.

Mada hii haiwahusu mabachala hasa wale timu kataa ndoa.

Uzi au sledi tayari.
Siyo tuu kwaajili ya kuweka akili sawa. Bali ni kumuweka pia mkeo atulie . Wanawake wanapenda kupigwa sana lile sikio ila hawawezi kusema
 
naweza nikakulisha wewe na ukoo wako wote kwa miaka 30 ijayo. ipige ndio mada iliyopo mezani. kama huamini weka namba yako ya akaunti niweke muamala
Huna hela ya kunilipa we fala. Ndio maana nakuambia tafuta hela maana kwa hii sms uko nje ya kanuni ya mtu mwenye uwezo. Wewe ni mchovu uliyechangamka. Ngoja nikutumie account ya watoto yatima uwatumie mshamba wewe
 
Mkuu hivi shida inakuwa nn wanandoa kunyimana... Yan hii ipo 90% kwa wanandoa mke kumkadilia mume. Yan mume hana uhuru wa asilimia zote kuipata kwa muda wowote anaotaka...
wakala wa vipimo wahusishwe haiwezekani upimaji wa mizani ya kutolea huduma uishie road tu
 
Huna hela ya kunilipa we fala. Ndio maana nakuambia tafuta hela maana kwa hii sms uko nje ya kanuni ya mtu mwenye uwezo. Wewe ni mchovu uliyechangamka. Ngoja nikutumie account ya watoto yatima uwatumie mshamba wewe
tuma akaunti kijana nikutumie hela ya kutosha urudi hapa kutoa ushahidi. waulize wenzio humu waliobahatika kuonana na mimi avatar isikudanganye. Au sema unapatikana wapi niwaagize vijana wakuletee kibunda
 
Hakikisha kila siku unaipiga sana. Inasaidia sana kuweka akili sawa. Sio unakuja kazini umekunja ndita. Makasiriko kazini hatutaki. Behave & fulfill your kuipiga responsibility.

Wazee wetu walioipiga sana waliishi umri mrefu.

Mada hii haiwahusu mabachala hasa wale timu kataa ndoa.

Uzi au sledi tayari.
Kupiga ipi sasa, ya nyumbani au ya nje! Maana, wengine ya nyumbani ipo Morogoro, mie nipo liwaleee Lindi! Naipiga kwa kubeep tu!
 
Sawa wameelewa
20241204_185923.jpg


#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Back
Top Bottom