Pia sema usioe mke mmojaHakikisha kila siku unaipiga sana. Inasaidia sana kuweka akili sawa. Sio unakuja kazini umekunja ndita. Wazee wetu walioipiga sana waliishi umri mrefu. Mada hii haiwahusu mabachala hasa wale timu kataa ndoa.
Uzi au sledi tayari.
Kwa nyongeza tuu hakikisha una mpango wa kando pia....hili ni muhimu sanaHakikisha kila siku unaipiga sana. Inasaidia sana kuweka akili sawa. Sio unakuja kazini umekunja ndita. Wazee wetu walioipiga sana waliishi umri mrefu. Mada hii haiwahusu mabachala hasa wale timu kataa ndoa.
Uzi au sledi tayari.
bado wa full time ana nafuu kubwa muda wowote anaipata. ni sawa na mwenye msosi ndani na anaetegemea kula mama ntilie dailySiku hizi gap la waliooa na ambao hawajaoa ni dogo sana katika kupata service, tofauti ni kwamba Moja ni full time mwingine part time
usipopiga siku ya kufa kama utajiona utajutiaMazoea ujenga tabia, ukisafiri je nani atakuwa anampa
Haijalishi mara ngapi, hakikisha ukicheza sio tu magori, bali pia mechi inakuwa na burudani na mbwembwe (dribble na showboating) za kutosha.
Wajuzi wamenielewa, ile kitu ni sanaa, ifanye sanaa yako iwe ya kuvutia na kuacha impession nzuri, kiasi kwamba audience yako inakuwa haina interest na wasanii wengine
Pia walio oa wapo hatarini kuambikizwa lile gonjwa kwa sababu wao wanaichapa tu bila tahadhari kubwa🤣Siku hizi gap la waliooa na ambao hawajaoa ni dogo sana katika kupata service, tofauti ni kwamba Moja ni full time mwingine part time
Mkuu hivi shida inakuwa nn wanandoa kunyimana... Yan hii ipo 90% kwa wanandoa mke kumkadilia mume. Yan mume hana uhuru wa asilimia zote kuipata kwa muda wowote anaotaka...Kuipigiga sana si mpaka uwe na bahati ya kupewa.....labda kama unamaanisha kupiga "punyeto" mbele yake kila siku.....
Ikiwa available sana mda mwngn hainogi Raha ya yale mambo mda mwingine ni deficiencybado wa full time ana nafuu kubwa muda wowote anaipata. ni sawa na mwenye msosi ndani na anaetegemea kula mama ntilie daily
Ngoja wakukute wakupige faini 10B kwa kuleta taharuki kwenye unganiko laoPia walio oa wapo hatarini kuambikizwa lile gonjwa kwa sababu wao wanaichapa tu bila tahadhari kubwa🤣