Kwa walioa tu: Hakikisha kila siku unaipiga sana, inasaidia sana kuweka akili sawa

Kuna wakati majukumu na malengo yanaweka mtu busy kiasi kwamba hata nguo unavaa tu ili mradi usikae uchi! Mfano shati kubwa bukta na viatu na wala hujali 😁😁

Hiyo kuipiga kila siku ni swala la nyege tu hapo
Hawa wengi wanaoandika hizi thread za kipuuzi ni wasio na ndoa na wanaokula bure kwa Shemeji zao. Huwa wanajifurahisha na kuwa na imagination zao.

Ukiwa na majukumu hilo suala la kuwa unaipiga kila saa unalitoa wapi? Tunapiga tunapojisikia kwani tunabakiza nguvu za kuendeleza familia kwani watoto wetu hawasomi wala hawali ngono.

Huyu mleta uzi akikua na kuanza kujitegemea utaelewa maana ya comment hii.😀😀😀😀
 
Mkuu umeandika kwa hasira mno🤣
 
Hakikisha kila siku unaipiga sana. Inasaidia sana kuweka akili sawa. Sio unakuja kazini umekunja ndita.

Wazee wetu walioipiga sana waliishi umri mrefu.

Mada hii haiwahusu mabachala hasa wale timu kataa ndoa.

Uzi au sledi tayari.
sawa ila kataa ndoa zamu yetu ikifika wake zenu watazileta pia
 
Cheza kila mechi, Mchezo mzuri always next game is impressing
 
Kuna takwimu inasema kwamba wakristo wengi wana upungufu nguvu za kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…