Tare he 11. 02. 2014 usaili ulifanyika kwa
walioomba scholarship za tgcl.
Chakushangaza ni mda mchache uliotumika
kwa Kila mtu kuhojiwa, yani dk5 tu. Maswali
ya kujiuliza ni: je huu usaili ndo itatumika
kama kigezo cha kupata au kukosa nafasi?
Nini kiliazingatiwa ndani ya mda huo? Kama
Kuna vigezo vingine wazoefu tupatieni.
Karibu tujadili
walioomba scholarship za tgcl.
Chakushangaza ni mda mchache uliotumika
kwa Kila mtu kuhojiwa, yani dk5 tu. Maswali
ya kujiuliza ni: je huu usaili ndo itatumika
kama kigezo cha kupata au kukosa nafasi?
Nini kiliazingatiwa ndani ya mda huo? Kama
Kuna vigezo vingine wazoefu tupatieni.
Karibu tujadili