Kwa waliofanya usaili wa TGCL Scholarship pale UDSM

Kwa waliofanya usaili wa TGCL Scholarship pale UDSM

ba nso

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
668
Reaction score
225
Tare he 11. 02. 2014 usaili ulifanyika kwa
walioomba scholarship za tgcl.
Chakushangaza ni mda mchache uliotumika
kwa Kila mtu kuhojiwa, yani dk5 tu. Maswali
ya kujiuliza ni: je huu usaili ndo itatumika
kama kigezo cha kupata au kukosa nafasi?
Nini kiliazingatiwa ndani ya mda huo? Kama
Kuna vigezo vingine wazoefu tupatieni.
Karibu tujadili
 
Back
Top Bottom