STRATON MZEE
Member
- Jan 4, 2012
- 59
- 17
As-Salamu Alaykum wana JF.
Wana jamvi wenzangu naomba msaada wenu wa kiushauri.
Kuna vijana walimaliza form four mwaka jana na matokeo yao yametoka mwaka huu, lakini kwa bahati mbaya wakafeli kwa kupata division zero. Sasa wameniomba niwape ushauri kuwa kwa matokeo haya, wanaweza kufanya nini ili kujitengenezea misingi ya maisha yao.
Wanachotamani wao ni kujua masomo au corse ambazo wanaweza kusoma, ili kufikia malengo yao ya maisha.
Tafadhali tuwasaidie vijana hawa, ili tuweze kujenga jamii yenye watu wanaojitegemea. Tukumbuke kwa kumsaidia mmoja kiushauri, tutakuwa tumeisaidia jamii nzima.
Naomba kuwasilisha.:lock1:
Wana jamvi wenzangu naomba msaada wenu wa kiushauri.
Kuna vijana walimaliza form four mwaka jana na matokeo yao yametoka mwaka huu, lakini kwa bahati mbaya wakafeli kwa kupata division zero. Sasa wameniomba niwape ushauri kuwa kwa matokeo haya, wanaweza kufanya nini ili kujitengenezea misingi ya maisha yao.
Wanachotamani wao ni kujua masomo au corse ambazo wanaweza kusoma, ili kufikia malengo yao ya maisha.
Tafadhali tuwasaidie vijana hawa, ili tuweze kujenga jamii yenye watu wanaojitegemea. Tukumbuke kwa kumsaidia mmoja kiushauri, tutakuwa tumeisaidia jamii nzima.
Naomba kuwasilisha.:lock1: