faraji yassin
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 243
- 24
hua najisikia vibaya sana kuona mwanafunzi wa chuo kuomba mkopo na kukosa mkopo inaniuma sana kwa kua na mimi nilikua miongoni kati ya wale ambao hawakupata mkopo ata senti tano na nimeishi bila mkopo kwa semista nzima kwa shida sana ila ningependa kukuambia kua kuappeal na kupata mkopo inawezekana kutokana na jitihada zako mwenyewe na kama unapenda kupata mkopo...!!!
mwanzo sikupewa ata sh ila nilikuja kuappeal na nikapata % 100 nilifanya ivi
1.. nilisubili mapaka walivotangaza kuappeal nilikua katika mstari wa mbele katika kufanya hivyo maana walivotangaza tu baada ya siku mbili nikawa nimeshatuma maombi
2..niliambatanisha vyeti vyangu kuthibitisha kua kwa nini nina appeal maana ya kua sababu gani inanifanya kuappeal so huwezi kuappeal na kupata mkopo bila ya kua na uthibitisho kua kwa nini unaappeal ni kitu cha muhimu sana yan sana ndugu zangu zingatieni icho sana
3.. vile vile hii sio legal sana ila nakushauri kama ndugu yangu maana haya ni maisha..kama unaweza tafuta ata mtu wa kukusaidia pale bodi ya mkopo sababu ndivo nilifanya mimi
kama kuna vitu vingine nazani tutazidi kuwasiliana
mwanzo sikupewa ata sh ila nilikuja kuappeal na nikapata % 100 nilifanya ivi
1.. nilisubili mapaka walivotangaza kuappeal nilikua katika mstari wa mbele katika kufanya hivyo maana walivotangaza tu baada ya siku mbili nikawa nimeshatuma maombi
2..niliambatanisha vyeti vyangu kuthibitisha kua kwa nini nina appeal maana ya kua sababu gani inanifanya kuappeal so huwezi kuappeal na kupata mkopo bila ya kua na uthibitisho kua kwa nini unaappeal ni kitu cha muhimu sana yan sana ndugu zangu zingatieni icho sana
3.. vile vile hii sio legal sana ila nakushauri kama ndugu yangu maana haya ni maisha..kama unaweza tafuta ata mtu wa kukusaidia pale bodi ya mkopo sababu ndivo nilifanya mimi
kama kuna vitu vingine nazani tutazidi kuwasiliana