majina yanatoka kwa batch so mayb batc yako haijafika na kama ni yatima mkopo unapata bila ya waswas,jaribu kufuatilia bodi
nenda bod direct mkuu utapata mkopo bila zengwe kama upo dar!
Process zikoje?
tuliokosa mkopo ina maana hadi hela ya kujikimu hatupewi au ni vipi?:A S-confused1:
tuliokosa mkopo ina maana hadi hela ya kujikimu hatupewi au ni vipi?:A S-confused1:
tunaomba kaka kama unazifahamu procedurez za kuappeal bhasi, maana wa udom 2nataka 2jue mapemaa kabla hakuja kucha..msaada..ila walinichagua eductn xaxa cjui maana udom nao? coz ya edctn ,mmmh.