wengi walio kosa mkopo ni watoto wa wa kulima na kumbuka kila mwanafunzi alilipa non refundable 30000 ukizidisha na walio kosa mkopo tayari ni mtaji wa kunepesha staff wa board
Sasa kama huna vigezo vya kusecure loan nenda board,,utakuwa umepoteza muda wako bure,labda kama wewe ni medical student
Tafadhali jumatatu ya tarehe 13.10 fika pale ofisi za HESLB Sam Nujoma road ili kupata ufumbuzi wa tatizo lako.
Asanteni.
Habari zenu waungwana.samahanini xn mm nimechaguliwa kujiunga na chuo cha ifm kwa mwaka wa masomo 2014/2015 ila nimekosa mkopo nifanyeje? Tafadhalini naomba ushauri wenu
Kwanini mkuujaman udom kichwa kinaniuma cz sijielew
Mi nauluzia kuhus MMU vp wameshatoa majina ya waliiomba mkopo?
Hata watakao ingia hakuna atakaye badiri hio kitu ndo mfumo uliopo....kiongozi wakukumbuka wananchi bado hajazaliwa kila mmoja anakuja kwa manufaa yakee...imagine tangu azaliwe hajawahi panda ndege je akiingia madarakani kwann asifanye hivyooooi.....