Kwa waliokosa mkopo

poleni wadau wote mliokosa mkopo,,cha msingi ni kujipanga kuapili tu
 
​pole sana hadi una muda wa kuingia kwenye mitandao ya kijamii
 
Thanks for advise: lakini tatzo linakuja kama hata ndugu wa kulipia ada hakuna pia hata gunia kama hlo la mchele la kuanzia maisha hakuna. Huoni shida zinatofautiana?
 
Thanks for advise: lakini tatzo linakuja kama hata ndugu wa kulipia ada hakuna pia hata gunia kama hlo la mchele la kuanzia maisha hakuna. Huoni shida zinatofautiana?

kwel shda znatofautiana....sasa unaweza kuangalia maziringira ya kwenu..haiwezekan ukoo mzima ukawa na shda atakuwepo ata mtu mmoja...pia waweza pitisha bakuli kila mtu akatoa kiac cha uwezo wake..wengne wakikupa 5000 wengne 10000 maisha yanaenda..cha msingi Ni kujishusha tu kama una shida kweli.....bdo kuna makanisa na misikitiwaweza kwenda pia kuomba msaada(apa nawazungumzia wasio na uwezo kabisa)
 

hii habari inatia moyo sana but kumbuka kuwa kuna wenzako ambao hata huyo wa kuwalipia ada hayupo.anyway haiitaji kukata tamaa
 
​pole sana hadi una muda wa kuingia kwenye mitandao ya kijamii

kk unafikiria kwel????au unaropoka tu..kwan kuwa masikin huna haki ya kuingia kwa social networks???...na mm kwa sasa sio masikin kama nilivyoanza ..kuna kamradi nilikagundua nikaanzisha na ada ya mwaka huu ntalipa mwenyewe...I will cum with another thread inayoelezea nilivyo survive...hii Ni introduction tu...
 
Story is plain with no evidence how can we trust you? Re-think.

jaman jaman iv issue apa Ni kuniamini au kuwapa wenzangu moyo???. iwe kwel or uwongo cha msingi Ni msg....pia cwez kaa na kutunga story so what???...ningekua na hzo story ingekua deal coz ningeigiza movie
 

samahan kaka.... ada kwa mwaka au kwa course inaweza kuwa kiaz gani...?
 
samahan kaka.... ada kwa mwaka au kwa course inaweza kuwa kiaz gani...?

inategemeana na chuo..kwa ifm ada Ni 1500.000 na kwa udsm 1300.000 vyuo vingne cjui...ila gud thng sio lazma uilipe yote..unalipa kwa installment
 

Pole sana mkuu, ila heslb wanaangalia sana shule ulizosoma je katika kusoma uliwahi kusoma private school?
 
poleni wadau wote mliokosa mkopo,,cha msingi ni kujipanga kuapili tu
Ndugu yangu kwenye ku appeal hata sishauri kiivyo,,,,hata mimi nilikuwa mhanga wa kukosa mkopo first year..niliappeal na sikupata kitu lkn niliomba upya nilipokuwa mwaka wa pili,nikapata asilimia 100,,,naomba kama mtu ana subira aombe mwakani na wale first year wajao,,hapo kama course anayosoma itaruhusu ni atapata mkopo,,,lakini kuappeal unapoteza hela yako na muda wako tu,,,,Pia kusoma private siyo kigezo cha kukosa mkopo,nina marafiki zangu wengi tu wamesoma Feza mwanzo mwisho,,wengine Feza - Alpha..na shule zingine za private ambazo ada yake ipo juu kimtindo mwanzo mwisho wana mikopo asilimia kubwa tu na wengine 100 kabisa,,,course unayosomaa kwa upande mwingine ina matter,,
 

mkuu unazungumza kweli kabsa lakini hata hata koo pia zinatofautiana ukoo wangu mimi hauko interested na kumsaidia mtu. Ntakupa mfano kidogo tu kipindi cha shule yangu (O-level) ilifikia sehemu aliyekuwa ananshika mkono akaelemewa ikabidi nizunguke kwa ndugu kuomba kuwezeshwa kishule(ada pamoja na michango mingne iliyokuwa haizidi laki) lakini majibu nliyoyapata ni yanafurahisha sana, mfano mkubwa wangu mmoja alidai huwezi kuyatoa maji bondeni kuyapeleka mlimani na yakaflow by gravity. Sasa leo utamwambia natakiwa kulipia karibia na 2mil atakuelewa..?
 
inategemeana na chuo..kwa ifm ada Ni 1500.000 na kwa udsm 1300.000 vyuo vingne cjui...ila gud thng sio lazma uilipe yote..unalipa kwa installment

hiiyo ni kwa koz yote....?
 
Dah poleni sana kwa kukosa boom raha ya chuo boom jipangeni mwakani mu apply upya mtapata sasa mtu kama alisoma private na aliye kua ana mlipia hana uwezo afanyeje serikali ijitahidi mana hyo ni kodi ya wananchi wana fanya watu wahangaike chuoni bure
 
niliichukia sana heslb coz walininyima zile hela zao, nilifanya jitihada zote mpaka nikamaliza chuo bila boom, ila nashukuru now nipo huru sina deni, so mliokosa msikate tamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…