Handsome Boy 2014
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 605
- 151
Yaan am an orphan sina baba wala mama nimeomba mkopo hii mara ya pili nimenyimwa sijui vigezo vyakupata mkopo ni nin ,seariously am hurting...am staying with my aunt anasomesha watu wa nne wote vyuo vikuu...hii ni fair kwel nime wapa 60000....na12000,yakutumia hii sikutuibia....kama vipi wawe wana list watu wao wanaotakiwa kuomba nakupewa mkopo
Sitaki kusikia upuuzi wa kuzungumzia suala la elimu ya juu ifikapo 2015 wakati wa kampeni kisa mnatuomba ajira. W,a.p.uzi wakubwa, watu tumekosa mkopo siku ya siku mnakurupuka eti fyofyofyofyo......................... Sitaki kusikia. Kama mnaweza fanyeni leo wakati wa shida zetu siyo mtuletee upuuzi, wa.p.mba.vu na wa: pu.uz wakubwa
Habari wakuu...!
Bodi ya mikopo imeendelea kujipambanua kwa kuonyesha kuwa haipo kwaajili ya kuwasaidia wale wasio na uwezo wa kujisomesha.Kwani wengi waliokosa mikopo ni watoto wa walala hoi,waliosoma shule za kata.Pia imewatenga yatima wakati walitegemea kupata ukombozi kutoka kwao.Hii inathibitisha kuwa watoto wa masikini na yatima hawastahili kupata elimu ya juu.
Moja ya viongoz wa loan board amehojiwa kwann wanafunzi wengi mwaka huu wamekosa mkopo?
Akajibu kuwa wengi wao wamesomea shule za private zenye ada kubwa hivyo wazaz wao wanaweza kuwalipia ada na mahitaji mengine pindi wawapo chuon.Bora pesa iliyopo tuwapatie ambao wana uwezo wa chini kabisa.
MWISHO WA KUNUKUU
sio tabia nzurimkuu unauhakika na ukiongeacho,au umekurupuka kama anae-sex na kichaa,wewe kama ulimalizia shule ya kata na ukajitia kimbelembele kuchagua course ambayo ni non-periority,je alitegemea nn,lawama nyingine siyo za kweli,loans board wanawapa kipaumbele wale waliomalizia shule za kata na kuchagua periority course.
Mkuu unauhakika na ukiongeacho,au umekurupuka kama anae-sex na kichaa,WEWE KAMA ULIMALIZIA SHULE YA KATA NA UKAJITIA KIMBELEMBELE KUCHAGUA COURSE AMBAYO NI NON-PERIORITY,JE ALITEGEMEA NN,LAWAMA NYINGINE SIYO ZA KWELI,LOANS BOARD Wanawapa kipaumbele wale waliomalizia shule za kata na kuchagua periority course.
Sitaki kusikia upuuzi wa kuzungumzia suala la elimu ya juu ifikapo 2015 wakati wa kampeni kisa mnatuomba ajira. W,a.p.uzi wakubwa, watu tumekosa mkopo siku ya siku mnakurupuka eti fyofyofyofyo......................... Sitaki kusikia. Kama mnaweza fanyeni leo wakati wa shida zetu siyo mtuletee upuuzi, wa.p.mba.vu na wa: pu.uz wakubwa
Mimi nimesoma St. KAYUMBA Course niliyochaguliwa ni priority Bsc Education ila nimenyimwa mkopo.
Jina tuu linaonesha ni mtenda ovyo uyo mkuuMkuu inaonekana unawaza sana ngono.
uliemnukuu aidha wivu unamsumbua au anawaza anavyoweza. Anadhani fedha ziko kama kitu kisichobadilika ukikiacha leo kesho utakikuta vilevile. Fedha hunyumbuka (elastic) kwa kuongezeka na kupungua.
Mtu kwa mfano kasomesha mwanae kwa hela za bmk au kwa kukopa wakati afya na umri unamruhusu - kesho karudi alikotoka (back to square one) na mtoto au watoto ndo hao wanaingia chuo kikuu - ataomba mkopo in anticipation watoto wenyewe watakujaurejesha.
Hiyo sio sababu - waangalie kipato cha sasa cha mzazi na sio historia ya kipato cha mzazi.
Nakozi pia inamata kijana.engineer na mwl ndo kipaumbele.ila pole sana najua unaumia.
Mkuu unauhakika na ukiongeacho,au umekurupuka kama anae-sex na kichaa,WEWE KAMA ULIMALIZIA SHULE YA KATA NA UKAJITIA KIMBELEMBELE KUCHAGUA COURSE AMBAYO NI NON-PERIORITY,JE ALITEGEMEA NN,LAWAMA NYINGINE SIYO ZA KWELI,LOANS BOARD Wanawapa kipaumbele wale waliomalizia shule za kata na kuchagua periority course.
Mkuu unauhakika na ukiongeacho,au umekurupuka kama anae-sex na kichaa,WEWE KAMA ULIMALIZIA SHULE YA KATA NA UKAJITIA KIMBELEMBELE KUCHAGUA COURSE AMBAYO NI NON-PERIORITY,JE ALITEGEMEA NN,LAWAMA NYINGINE SIYO ZA KWELI,LOANS BOARD Wanawapa kipaumbele wale waliomalizia shule za kata na kuchagua periority course.
Mkuu inaonekana unawaza sana ngono.
Kwenye "selma" hapo kidogo kuna shida,rekebisha usionekane kama huyo uliyemsahihisha.Pia ujifunze kiswahili vizuri. Sio unasema unauhakika na ukiongeacho Selma "uongeacho"