Kwa waliokosa usingizi kama mimi!

Kwa waliokosa usingizi kama mimi!

Donjama

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2015
Posts
215
Reaction score
93
This time naandika hapa...hope wengine wamelala ila kuna wengine bado! Niko na mood ya kuchat...about maisha na issue zingine za kiungwana zaidi! Kama vp tupia namba yako tuchat whatsapp! Ofa kwa walio macho tu na wenge mood za kuchat...ambao kesho hawawahi job! Hayaaaa....
Note: Sitaki madongo jemeniiii...ni kwa uzuri tu
 
twende humu humu wengine simu za wasapu ziliisha muda wake june 16....vp uko mwenyewe au na shem hapo
 
This time naandika hapa...hope wengine wamelala ila kuna wengine bado! Niko na mood ya kuchat...about maisha na issue zingine za kiungwana zaidi! Kama vp tupia namba yako tuchat whatsapp! Ofa kwa walio macho tu na wenge mood za kuchat...ambao kesho hawawahi job! Hayaaaa....
Note: Sitaki madongo jemeniiii...ni kwa uzuri tu
Ni wazi uko pekeyako hapo kitandani
 
Back
Top Bottom