niko mbali na chuo nilichochaguliwa ila nimemuomba jamaa angu anisaidie, wamemwambia inabidi adownload form ya tcu, sijaelewa ni form ipi inatakiwa aidownlaod, anaefahamu naomba anielekeze ni form gani na inapatikana vp?
Itakuwa sytem chuna cku kazaa jarbu tena, ila ukipata mwaka huu nenda afu ukabadil cours sio kutokwenda BRN, wanafauluuu achaaa utashndwa kwa competion