Kwa waliolima Kiteto virginland tujuane

Napakubali sana huko kwa kilimo, maeneo ya Sunya tulikuwa tunaenda kula nyama
 
Halafu kuna watu wanabanana kwenye mwendokasi na bahasha za kaki wakimaliza sori kusambaza (wasifu binafsi)

Labour market imefurika, fursa zipo mashambani

Ukiwaambia fursa bado zipo wanakupopoa na matusi. Povu ruksa

Hongera mkuu.
 
Halafu kuna watu wanabanana kwenye mwendokasi na bahasha za kaki wakimaliza sori kusambaza (wasifu binafsi)

Labour market imefurika, fursa zipo mashambani

Ukiwaambia fursa bado zipo wanakupopoa na matusi. Povu ruksa

Hongera mkuu.
Nimekubali
 
Mimi lengo langu nikamate mashamba makubwa kwa gharama ndogo mkoa wa ruvuma lakn bado cjapata mwongozo mzur hii leo nko songea nitaanza kutembelea maeneo mbali mbali kuanzia kesho, nmeishi manyara miaka kumi mashamba nakod kw lak na nusu, nmeamua ntembelee mkoa hu nione naskia mashamb Bei Chee nkifanikiea nianze kilimo km kichaa na pia nifuge ngombe weng nahc naweza nkatoboa! Dondosha jina la eneo ktk mkoa hu ntakapoweza kulima kw trecta na kufuga ukizngatia mito kwa ajili ya maji y mifugo🙏🙏🙏
 
Upande wa kiteto na simanjiro naskia masai wanachungia mashamba ovyo
 
Upande wa kiteto na simanjiro naskia masai wanachungia mashamba ovyo
Tena kwa sasa itakuwa balaa[emoji91]Wale Wamasai wa ngorongoro wanaletwa Kilindi-Tanga mpakan na Kiteto.. itakuwa wakulima ni mwendo wa Ngeu tu! [emoji3538]Kiteto si dhani kama ni sehemu salama kwa sasa![emoji848]
 
Masai ni wanyama hawana utu utakuta kasmamia mifugo shamban ukimhoj anakutimua vbya mno na ucpokuwa makin sime inakuhusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…