Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
- Thread starter
-
- #21
mzee nipe koneksheni basi na yule dada ako acha wivu mzeeKwa hizi nyuzi zinazoletwa humu kila siku watu wakilia lia kwenye ndoa zao, naanzaje kumtupa mchepuko wangu kidawa? Kikubwa ajitambue tu.
Let's meet at the top, cheers [emoji482]
HaswaaaKuna mwanandoa mmoja anasema " oa ili ujue kwanini unahitaji mchepuko " hakuna watu malaya kama waliooa.kama kabla ya ndoa ulikuwa una wanawake wawili basi ukioa utakuwa na wanawake wanne.Mliooa mnafeli wapi?....Uzi tayari
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] aisee kumbe ndo mambo yalivyo.una michepuko mingapi mzeeNgoja kwanza ajifungue kama round mbili hivi aanze kunenepa hovyo awe na kitambi aanze kujali na kupenda watoto wake hamu ya sex kwake ipungue kabisa uanze kunyimwa gemu
Ndo utaelewa kwa nini ni muhimu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] aisee kumbe ndo mambo yalivyo.una michepuko mingapi mzeeNgoja kwanza ajifungue kama round mbili hivi aanze kunenepa hovyo awe na kitambi aanze kujali na kupenda watoto wake hamu ya sex kwake ipungue kabisa uanze kunyimwa gemu
Ndo utaelewa kwa nini ni muhimu
wa kwako anajielewakuchepuka kunategemea structure ya ndoa, kuna ke wanajielewa ndoani hadi kuchepuka unahisi ni upumbavu ulovuka mipaka
wa kwako anajielewa?kuchepuka kunategemea structure ya ndoa, kuna ke wanajielewa ndoani hadi kuchepuka unahisi ni upumbavu ulovuka mipaka
wewe una michepuko mingapi?Haswaaa
wewe unayo mingapi mzee?Kuna kipindi hawa Jinsia Ke, wanapoteza hamu ya Tendo, hasa baada ya kuzoeana sana na mwenza wake na kipindi tayar ameshapata mtoto na majukumu ya kifamilia yamemuelemea.
Ndo apo kidume umetoka kazin unategemea upate faraja kwa mwenza lakin unaambulia kusukumwa na neno Nimechoka acha nipumzike.
Michepuko lazima uitafute....
huyo kidawa inaonekana unamkubali sanaKwa hizi nyuzi zinazoletwa humu kila siku watu wakilia lia kwenye ndoa zao, naanzaje kumtupa mchepuko wangu kidawa? Kikubwa ajitambue tu.
Let's meet at the top, cheers [emoji482]
Mmoja tuwewe una michepuko mingapi?
angalia usije ukazaa nayeMmoja tu
Mbona watoto wa michepuko ninao 3 na bimkubwa anawalea! Polygamy is a matter of administration my friendangalia usije ukazaa naye
Miwili tu kwa sasa ila ntaongezawewe unayo mingapi mzee?
ulimpiga sound gani akaelewa?Mbona watoto wa michepuko ninao 3 na bimkubwa anawalea! Polygamy is a matter of administration my friend
umekaa naye muda gani kwenye ndoa?Miwili tu kwa sasa ila ntaongeza
Mbona watoto wa michepuko ninao 3 na bimkubwa anawalea! Polygamy is a matter of administration my friendangalia usije ukazaa naye
unamuonesha udhaifu wake kiume naye anakubaliulimpiga sound gani akaelewa?
umekaa naye kwenye ndoa miaka mingapi?Mbona watoto wa michepuko ninao 3 na bimkubwa anawalea! Polygamy is a matter of administration my friend
unamuonesha udhaifu wake kiume naye anakubali
Mtoto wa kwanza anakuzidiumekaa naye kwenye ndoa miaka mingapi?
I play very safee bwana eeee[emoji3][emoji3][emoji3] subiri 40 zako