Kwa walioolewa zaidi ya mara moja

Kwa walioolewa zaidi ya mara moja

Huyo huwa anafata sherehe tu cyo ndoa, afu wahivyo bila sherehe hawez kukubali kuolewa[emoji23][emoji23] hajui tofauti ya ndoa na sherehe. Ila Kama ma hotpot na vitenge atakwanavyo vingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kutunzwa vitu vya Send off kuna raha yake
 
Mtaji huo, ni chanzo kipya cha mapato kwa sasa
Kuna mshkaji Upanga alituchangisha harusi.

Kumbe muhuni kapata safari ya Ulaya hana nauli.

Akachukua mchango akaishia zake.

Siku hizi kila nikimuona mtu maarufu sana, ana vihela vyake, sisahau ile story.
 
Kuna mshkaji Upanga alituchangisha harusi.

Kumbe muhuni kapata safari ya Ulaya hana nauli.

Akachukua mchango akaishia zake.

Siku hizi kila nikimuona mtu maarufu sana, ana vihela vyake, sisahau ile story.
Hahaha akirudi mkatateni awalipe
 
Wanakutana naye club, anawanunulia bia, wanacheka stories za utoto.

Mambo yamefanyika karibu miaka 25 iliyopita utotoni huko utamuwekea msela kinyongo bado?
Hahaha kumbe kipindi hiko cha mchango buku tano tano [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu dada hapa jiarani anaolewa hii ndoa ya tatu.

2013 nilimchangia send-off nikahudhuria na ubwabwa nikala. 2016 akaleta kadi ya mchango, ndio nikastuka oh kumbe aliachika. Nilimchangia tena. 2020 jana kanipa kadi ya mchango wa send-off, nikamtania "Ah! Wewe kila siku unaolewa wewe tu, sasa tunakuagia nini kama kila siku unarudi kwenu?". Khe! Jamani kaniporomoshea matusi hayo
2023 itakuwa zamu yako kumuoa
 
Huyo dada atakuwa anapenda sana shughuli maana ni kama aibu unaolewa mara 3 lakini bado unaachika alafu huachi kusumbua majirani na michango yako aah! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nina dadangu mtoto wa mama mkubwa, ana ndoa? ya sita.
 
Back
Top Bottom