uswahilini kuna mambo ya ajabu sana. huwezi amini kipindi hicho miaka ya 2000 nilipanga Magomeni mapipa pale, kuna jamaa mmoja yeye ni bonge la mtu, kamke kake ni kadogo kama karanga...kuna rafiki yangu alikuwa anamvizia anapoenda kuoga, mwenye mume akiwa ndani anasubiri mkewe akaoge (kwasababu hawaogi wote), mke mzuri ajabu, sura nzuriiii, ni mchaga wa machame mweupe huwezi amini...lakini akifika bafuni anashika ndoo...yaani anainama kama vile unafua nguo kwenye ndoo ya lita kumi alafu jamaa anapiga ya chapchap kwa nyume kama chuma mboga fulani hivi...na bwanake yuko ndani hajui...
majuzi nimekutana na yule mama, anasali kanisa la ufufuo na uzima ameshaathirika na Bwanake amekonda kwisha mbaya...mwanamke kamletea na ngoma....uswahilini kuna mambo ya ajabu ajabu...