Kwa waliopanga Uswazi fumanizi hili linaweza kukufundisha kitu!!

na vitu Fulani vyeupe vikiwa vinachuruzika miguuni.
nanukuu hiyo red,vitu vyeupe,ina maana mama alikuwa analiwa pekupeku,bandugu bapenzi,tutasalimika kweli? hata kama kuna babu kwa mtindo huu................

Huduma hizi za fasta mkuu ni sawa na watu waendao msibani hawabebi vyandarua!!!!!
 
Bora hiyo kuliko kuvunja nyombo vya kila mtu!!!Hata mimi ningeondoka kimya kimya!!

Ya nini malumbano bwana!
lakini mimi najiuliza hivi kuna binadam wana akili timam kweli? yaani wewe unajiamini vipi kumhama mwenza wako kwenye shuka na kwenda jikoni au uwani kusulubiana na njemba nyengine?
 
Hata akiwa nayoa tayari ameshaonyesha busara zake kwa kutogombania kuku asiyetaka kukaa kwake....kama kuku ndiye aliyeenda kwa jirani kwanini yeye agombane na jirani????v
jamaa anatufundisha sisi tulio owa tuwe na subira kama ukiamua kutoa hukum utajuta. Tuwe maamuzi ya busara kwa faida ya wote.
 
Huduma hizi za fasta mkuu ni sawa na watu waendao msibani hawabebi vyandarua!!!!!

Kwa huyo mke kaondoka na mtoto.....
Kuna ule wimbo wa J. Zuma na wenzake....Umshini Wam
 
Oh Lord give me strength niwe kama huyo jamaa.Amen.
 
Sad stor. Nahisi ingekuwa mim nisingeweza vumilia kama jamaa. Ila ndo ivo ya nin malumbano...
 
lakini mimi najiuliza hivi kuna binadam wana akili timam kweli? yaani wewe unajiamini vipi kumhama mwenza wako kwenye shuka na kwenda jikoni au uwani kusulubiana na njemba nyengine?
Huo unaitwa ufisadi wa kibazazi!
 

mtu akiamua kukusaliti ni tab kumzuia ila atalipizwa hapa hapa dunia
 
mkuu rudi tu, ila hiki ni kisa cha kweli. huyu jamaa niliyemuelezea hapa ana visa vya mapenzi ambavyo ni watu wachache wanaweza kuhimili. mpaka sasa namshangaa sana.


Mkuu hiki kisa kinafaa kutengenezea hela subiri nianze kuandika script ya kuuza bongo...
 
Mkuu hiki kisa kinafaa kutengenezea hela subiri nianze kuandika script ya kuuza bongo...
mkuu anavisa vingi vinavyohusu mapenzi ambavyo nikiviweka humu hakuna atakayeamini. Ingekuwa ni mchezo wa kuigiza nafikiri angepata tuzo.
 
Huyo kaka mwenye mke ana busara sana!!!

walikuwa wameshachokana hao. mama analala na mtoto. mama anamwacha baba amelala anaenda kwenye mambo zake. baba anafumania hakuna reaction. mama anaondoka , baba hana habari nae. angekuwa na busara angemsamehe waendelee na maisha.
 
mi najiuliza kwa nini wanawake?
manake katika mkasa huu utaona mwanamke aliyefumaniwa
kahama chumba kamuachia mumewe na upande wa pili
unakuta mwanamke aliyefumania nae kama chumba kamuachia
mumewe!
au ndio masuala ya mfumo dume?
 




Kwa huyo rafiki yako ashukuru Mungu kwani mke amekimbia tu,kuna klisa kilitokea sehemu fulani mkoani Shinyanga ila sitaitaja,mke alifumaniwa kisha jamaa(mume) akamchukua kwa upole akarudi naye nyumbani mke akajua zangu zimeisha lakini jamaa akamuambia wakaoge na wakaoga pamoja na bwana wala hakumgusa,ilipofika saa ya kulala wakalaa ila mume hakuulizia tendo na mwanamke akawa na woga akijua nikimsemesha mume wangu labda nitampandisha hasira.Zikapita wiki mbili bila tendo lakini mengine yote yalikuwa kama kawaida.Siku moja wakati jamaa amerudi kazini jioni hakumuona mkewe kama ilivyokuwa kawaida akaingia chumbani na kumkuta mkewe ameshakunywa sumu na kumuachia ujumbe kuwa hawezi kuishi kwa aibu kiasi kile na wala hawezi kushitaki kunyimwa unyumba na mumewe kwani yeye ndiye alikuwa mkosefu.Basi jamaa alilia sana kwenye msiba na alikuwa akisema kuwa zilibaki siku mbili tu ifike siku ya wapendanao na alikuwa amemuandalia surprise mke wake ili waanzishe upya penzi lao lililokuwa limeingiliwa.
 

Nilishawahi kusimuliwa mkasa kama huu nikiwa na miaka 14.
 
Duh kaaaazi kweli kweli. Mh jamaa an moyo bandugu! Lol
 
nimecheka sina mbavu,tripoli kwa gadafi,si mchezo.
jamaa ana moyo wa kiume wa ustahimilivu
kuna binadamu aina flani hasira zao zinapanda gradually kwa kufikiria mambo for a period of time na nazani na huyu ni mmoja wapo, na mara nyingi hawa wakifika break even point basi balaa lao bora ukaishi tripoli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…