PAPAA JIWE
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 863
- 149
Habari
wakuu,
Udsm kwa nyakati tofauti huwa inakuwa na viongozi DARUSO pamoja na kambi
za wanaharakati. Na wote kwa pamoja wana mchango mzuri sana.
Sasa tukumbushane wanaharakati maarufu na viongozi wa pale UDSM. Kwa upande wangu mwanaharakati RICH
MWITA alikuwa zaidi, hasa alipoamua kufanya matembezi peke yake akidai
ongezeko la boom.
Rais Kipara nae alikuwa zidi, maana alihimili mikiki mikiki mingi sana pale UDSM.
wakuu,
Udsm kwa nyakati tofauti huwa inakuwa na viongozi DARUSO pamoja na kambi
za wanaharakati. Na wote kwa pamoja wana mchango mzuri sana.
Sasa tukumbushane wanaharakati maarufu na viongozi wa pale UDSM. Kwa upande wangu mwanaharakati RICH
MWITA alikuwa zaidi, hasa alipoamua kufanya matembezi peke yake akidai
ongezeko la boom.
Rais Kipara nae alikuwa zidi, maana alihimili mikiki mikiki mingi sana pale UDSM.