Kwa waliopita UDSM- Mlimani Campus

Kwa waliopita UDSM- Mlimani Campus

Tarehe 12/11/2008 Uongozi wa UDSM ulilazimika kufunga chuo kwa muda usiojulikana Kutokana fujo zilizotokea chuoni pale kwa siku 3 mfululizo! Nakumbuka hapa kulikua na nguvu ya siasa pia! Kikubwa ni kwamba uongozi wa UDSM ulikua unamtaka Pasience Mlowe awe Rais wa DARUSO wakati kwa wanafunzi walikua wanamtaka ODONG ODWAR! Naikumbuka siku hii kwani nilinusurika ajali wakati nawakimbia FFU waliokua na uchu wa kutoa kipigo kwa wanafunzi!
 
Odooooooong! Halaf tunajibu, Odwaaaaar! Mtatiro na mtoto wa mama Leah (a.k.a. Bush) na Rais wao Deo! Nafkiri Mlowe Pasience hatomsahau Odong Odwar katika maisha yake! So sad that the guy was expelled from the varsity and immediately was taken back to his country - Uganda.

Umenikumbusha mbaali sana, enzi za kunji la kukomaa ifutwe 40% kisha kukomaa yasiwepo madaraja. Kipindi hicho Udsm ilikua Udsm kweli siyo hizi nyakati za leo. Odoooong...
 
Mkuu pole sana kwa hilo tukio mkuu, wewe ulikuwa leader au follower?

Tarehe 12/11/2008
Uongozi wa UDSM ulilazimika kufunga chuo kwa muda usiojulikana Kutokana
fujo zilizotokea chuoni pale kwa siku 3 mfululizo! Nakumbuka hapa
kulikua na nguvu ya siasa pia! Kikubwa ni kwamba uongozi wa UDSM ulikua
unamtaka Pasience Mlowe awe Rais wa DARUSO wakati kwa wanafunzi walikua
wanamtaka ODONG ODWAR! Naikumbuka siku hii kwani nilinusurika ajali
wakati nawakimbia FFU waliokua na uchu wa kutoa kipigo kwa
wanafunzi!
 
Ni list ndefu iliyofukuzwa 2011,
1. Alphonce Lusako (Emekha)
2. Evarist Ambrose Silayo
3.Baraka Monance (kijicho)
4. Mabirika Mawazo (Al-shabab)
5. Helen Philip Mushi (Al-shabibi)
6. Fredy Chacha Hatari
7. Elius Mwambapa
8. Francis Ndunguru
9. Japhet Mwashimaha (Sokwe)
10. Legan Michael
11. Bocasa
na viongozi wa DARUSO kama
1. Daniel Naftal (Waziri wa mikopo)
2. Paul Mkenda (Menyekiti, UDSL)
3. Ado Shaibu (katibu UDSL)
4. Nicodemus Kazimil
na wengine siwakumbuki majina.
Ila ktk list hii nilikuwa namkubali sana Ambrose Evarist Silayo, jamaa ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja, I can see a future leader in him. Pia akina emekha na wengine wote ni wazuri ktk harakati, but mi nilimkubalisana Silayo.
 
Mkuu tujuze, huyo ni nani na ni wa zama zipi? ili tukumbuke mapito.

FILBERT NICKSON...
huyu dogo ni puto kweli kweli, too weightless.
Hana madhara yoyote, mpk najiuliza alipataje madaraka
 
Mkuu umegusa sana, Umenikumbusha kijicho ila umemsahau rafiki yake aliitwa Bokasa.

Kijicho alikuwa hana time ya kubembeleza, yeye anatoa amri watu wanasonga mbele.

Ni list ndefu
iliyofukuzwa 2011,
1. Alphonce Lusako (Emekha)
2. Evarist Ambrose Silayo
3.Baraka Monance (kijicho)
4. Mabirika Mawazo (Al-shabab)
5. Helen Philip Mushi (Al-shabibi)
6. Fredy Chacha Hatari
7. Elius Mwambapa
8. Francis Ndunguru
9. Japhet Mwashimaha (Sokwe)
10. Legan Michael
11. Bocasa
na viongozi wa DARUSO kama
1. Daniel Naftal (Waziri wa mikopo)
2. Paul Mkenda (Menyekiti, UDSL)
3. Ado Shaibu (katibu UDSL)
4. Nicodemus Kazimil
na wengine siwakumbuki majina.
Ila ktk list hii nilikuwa namkubali sana Ambrose Evarist Silayo, jamaa
ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja, I can see a future leader in him. Pia
akina emekha na wengine wote ni wazuri ktk harakati, but mi
nilimkubalisana Silayo.
 
Ni list ndefu iliyofukuzwa 2011,
1. Alphonce Lusako (Emekha)
2. Evarist Ambrose Silayo
3.Baraka Monance (kijicho)
4. Mabirika Mawazo (Al-shabab)
5. Helen Philip Mushi (Al-shabibi)
o.
sijui ndio huyo al shabab alisema akifukuzwa chuo atajua mambo mawili kuweka risasi katika bastola na kushoot, alifukuzwa na hayo mambo mawili sikuona kafanya.

wanaharakati wengi walikua wanaume enhee
 
Rich
alikuwa na amsha amsha sana. Kuna siku alikuja mabibo usiku, katikati
ya block e na d pale, yaani mabibo nzima ilizizima utadhani kulikuwa na
tetemeko la ardhi.

Rich alikuwa anajua sana kukonga nyoyo za watu wakati wa shida.

kweli??????
nilikua nampenda........, alikua ana influence acha.....
 
udsm ilikua enzi zile tunapinga uanzishwaji wa bodi ya mikopo siyo sasa. nina mwaka wa tano sijasikia kunji udsm
 
Waliokuwa DARUSO ndio wengi wao wamerudishwa. Al-shabibi alinikosha kwenye ile ruti ya kudai buku kumi, wakati askari wanataka kumkamata, aliingia mtaroni akatoka amejaa matope, wakamuacha aende zake.

nasikia al shebibi alirudishwa. Ananikoshaga sauti yake
 
Back
Top Bottom