fredito13
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 213
- 146
Tarehe 12/11/2008 Uongozi wa UDSM ulilazimika kufunga chuo kwa muda usiojulikana Kutokana fujo zilizotokea chuoni pale kwa siku 3 mfululizo! Nakumbuka hapa kulikua na nguvu ya siasa pia! Kikubwa ni kwamba uongozi wa UDSM ulikua unamtaka Pasience Mlowe awe Rais wa DARUSO wakati kwa wanafunzi walikua wanamtaka ODONG ODWAR! Naikumbuka siku hii kwani nilinusurika ajali wakati nawakimbia FFU waliokua na uchu wa kutoa kipigo kwa wanafunzi!