Kwa waliosoma bcom tu.

Mkwizu, Lwiza, Minja, Bais....hawa watu wa Finance lazima wakung'ang'anie mwaka huu!

Dr.Daudi Lwiza siku hizi amekuwa hivi jamaani?Enzi za 92/93 mbona alikuwa poa?Nini mamemsibu?Au alivyounguzwa uso na mke wake ndo hasira anamalizia kwa wanafunzi wake nini?mmmm poleni
 
hahahah njoo ntakupa internship hapa firm kwetu angalau upate exposure ya mwaka then uingie soko la ajira..mbwembwe nyingi kumbe GPA boxer za karume kila mtu anavaa..
 
unaangukia wanakoangukia wengi?

hizo ndizo GPA wanazoangukia wengi? We iseme tu GPA yako ya m.kwere.

cwezi kuwa na gpa ka ya ****** mkuu,nadhan kwa miaka hyo miwili ukijumlisha thn ukagawa kwa 2 itasoma 3.7 kama cjakosea.
 
hahahah njoo ntakupa internship hapa firm kwetu angalau upate exposure ya mwaka then uingie soko la ajira..mbwembwe nyingi kumbe GPA boxer za karume kila mtu anavaa..

ebu weka hyo yako ya tumaini tuione.
 
umenitajia hao watu nimejisikia kusisimka.
watamkamata kweli wale sijui wapoje mmh.


Dr.Daudi Lwiza siku hizi amekuwa hivi jamaani?Enzi za 92/93 mbona alikuwa poa?Nini mamemsibu?Au alivyounguzwa uso na mke wake ndo hasira anamalizia kwa wanafunzi wake nini?mmmm poleni
Dah! JF ni zaidi ya uijuavyo! Kumbe UD mpo wengi kiasi hiki? Mbona hamkutokea kwenye sherehe za miaka 50 ya chuo chetu?
 
Dah! JF ni zaidi ya uijuavyo! Kumbe UD mpo wengi kiasi hiki? Mbona hamkutokea kwenye sherehe za miaka 50 ya chuo chetu?

Tupo mbali wengini.Wewe unapajua Tanganyika Masagati mpaka Dar ni Km ngapi?Ndo maana hatukuja alafu siku hizi UDSM sio ya enzi hizo kila kitu vuluvulu.
 
GPA inamata huku kitaa. Uwakika ukiwa 3.8 angalau hautabika saa, labda kama una m2. Ila na bahati inahusika. Mwombe Mungu. Mwambie Dr.chijoliga aache kuban hayo ma Gpa.

we si ndo ulikuwa unasema una module E ya NBAA? ilikuwaje?
 
huko ndiko wengi wanaangukia? Tena finance!

tatzo matokeo ya hapa huwa ni siri,huwez jua we umefeli sana au umefaulu mkuu,so ndo mana mwenyewe najiona nna matokeo ya kawaida 2.
 
hahahah njoo ntakupa internship hapa firm kwetu angalau upate exposure ya mwaka then uingie soko la ajira..mbwembwe nyingi kumbe GPA boxer za karume kila mtu anavaa..

Acha dharau wewe..kwani rais wa taifa lako unadhani GPA yake hapo mlimani ilikuwa ngapi? Ukisikia unaitwa Ikulu usawa huu ushuzi utakutoka kwa mchecheto na kwa taarifa yako GPA yake ni chini ya boxer zako za karume. GPA sio mwisho wa kila kitu!
 
Jaman ndugu zangu,me ndo namalizia kadegree kangu ka biashara hapa mwaka huu.naomben mniambie market ya hii kitu ikoje huko sokoni.over
Umechelewa kuuliza hili swali. ulitakiwa kuuliza kabla ya kuanza hiyo degree. Tukikwambia market yake ni mbaya utafanyaje? wewe KAZANA kusoma umalize shule ili upate GPA nzuri ili ikiwezekana ufanye na masters kabisa
 
kama uko nondo kwenye aptitude tests na oral interviews try the big 4 huwa wana recruit graduates every year
 
We unajua maana ya uhasibu? Huwezi kusoma poitical science ukawa Mhasibu. Taabu yenu mtu yeyote anaye-handle pesa mnamuita mhasibu. Huyo ni cashier/mtunza pesa siyo mhasibu. Uhasibu is a spcialised profession. Hata ukipata degree ya Bcom accounting bado wewe siyo mhasibu.
 
Umechelewa kuuliza hili swali. ulitakiwa kuuliza kabla ya kuanza hiyo degree. Tukikwambia market yake ni mbaya utafanyaje? wewe KAZANA kusoma umalize shule ili upate GPA nzuri ili ikiwezekana ufanye na masters kabisa

mkuu,nadhan unajua hadi kufikia mwaka 2009 bcom ilikua ndio hot course,so vijana wengi 2lokua tunamalza form 6 tukawa tunaikimbilia pasipo kujua demand yake ikoje huko sokon...ila sa hzi nkiangalia graduates wa hii kitu walioko huko mtaani na hawana ajira,napata wasiwasi sana.
 
. wewe huna cha kukusaidia zaidi ya kazi ya TRA. kama una upper second njoo nikuajiri ktk biashara zangu ili ukae DSM. kumbe ndo maana hata auditing firm kubwa kama KPMG, E&Y, PWC hamuonekani. rafiki umechelewa, GPA inasaidia sana ila GPA sio kuwin maisha. ukija Masaki, majirani zetu wote hamna mwenye GPA ya 3.
 
Market ipo mdau ila unatakiwa uwe una cheti cha bodi ya nbaa .......cha cpa ili uweze kutambulika kama huna hii
kitu jiandae kufundisha tution za sekondali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…