duh..kweli kuna watu wasanii sanawalipewa mwezi 1 wakazembea,shule ilikutwa haina body ya shule,haina mhasibu,haina account ya benk,secretary ndo mhasibu,Walimu watatu wa kuajiliwa..kigala ndo Manager,headmaster,yeye ndo benk,walimu wote ni wa Part time.
Wameambiwa waajiri walimu,ila wao kigala na mke wake wakae pemben.
Mi nilisoma hapo
walipewa mwezi 1 wakazembea,shule ilikutwa haina body ya shule,haina mhasibu,haina account ya benk,secretary ndo mhasibu,Walimu watatu wa kuajiliwa..kigala ndo Manager,headmaster,yeye ndo benk,walimu wote ni wa Part time.
Wameambiwa waajiri walimu,ila wao kigala na mke wake wakae pemben.
Mi nilisoma hapo
Ni kweli Dodoma Central ilipungua vigezo, lakini wizara ingefanya jitihada kuakikisha secondary ile inaboreshwa,. kuifunga ni kuwakosea wanaosoma na kufanya kazi pale. Labda kuna fisadi anataka lile eneo pale ashushe mjengo. let us wait and see.
Mi nimesoma Jamhuri ila poleni majirani zangu wa central sec. Pia bora wameifunga wewe shule gani tuition ndo wanakazia kuliko mapindi ya kawaida??
duhh kaka nami nilisoma pale, enzi ya mwl mkuu mr gangji. huyo kigala alikuwa mwl mkuu msaidizi, kitu ambacho sijafahamu hadi sasa , nimesikia mwenyewe ktk radio kuwa moja ya sababu ya kuifunga ule shule ni kukosa namba ya usajili... huo usajili usajili upi...........? kingine kilichonishangaza kusikia mwl Kigala yeye ndo mmiliki wa shule. na ndo mwendeshaji mkuu, huko nyuma ile shule ilikuwa ya kihindi pure, je ndo kusema wahindi wale walimpa mwl kigala ama imekuwaje , mwenye kujua hilo atufahamishe maana tuna historia na ile shule
Central ni shule ya zamani na ilikuwa hvyo hvyo, ss leo kulikoni? 2. Kuna wanafunzi waliokwishalipa ada, tena yawezekana za kuunga unga leo mnafunga shule, mbona mnaongeza wajinga mtaani? 2kumbuke kuna wale 4m 4 waliopewa adhabu ya kugushi pepa nao wapo mtaani, serikali ifikirie au ije na soln ya wanafunzi wa hapo central wanaenda wp? Na hao wakaguzi wanafiki baada ya waziri kwenda ndo wanajua haina vigezo?
Naikumbuka sana hiyo shule kwani nimesoma Dodoma Sec. vilaza waote waliokuwa wanafeli wanaenda pale ilikuwa na watoto bomba sana enzi hizo.
We Kurunzi wewe sisi siyo vilaza bwana, ebooh?
miye mwenyewe nimesoma pale, Ikiwa inamilikiwa na Bojan, Mambo yameanza kuwa mabaya baada ya Bwana Kidevu kuwa mmiliki, Bwana kidevu huyu ana umimi sana uncle wangu alikuwa Second Master Pale Sir K akajiondoa taratibu. Kwa kweli kufunga ni muhimu kwasababu haina vigezo vya kuwa sec na ukizingatia shule ipo mjini, inakosaje walimu, mhasibu, nk. sijui wakaguzi walikuwa hawaioni /?????
Ila imeniuma sana demu wangu alikuwa ana-reseat pale sa sijui ntafanyaje maskini. Basi serikali ifungulie amalizie ndo muifunge tena.