Shule ya Sekondari ya Dodoma Central imefungiwa na Serikali,sababu za kuifungia ni kukosa vigezo vya kuwa shule ya sekondari baada ya Wakaguz wa Elim kuikagua na kujiridhisha kuwa haiana viwango vyao,
sosi:HABARI LEO.
My Take
Mimi nimiongo mwa wadau walipata kusoma Dodoma Central,na naiman kuna wadau walisoma pale,kwa mu0n0 wangu nahis wadau wa ukaguz kama walichelewa vile?ila nachoshauri ni kwamba wanafunz waliokua wanasoma hapo watafutiwe shule haraka,mamlaka husika ziwasaidie kwenye MCHAKATO wa UHAMISHO
sosi:HABARI LEO.
My Take
Mimi nimiongo mwa wadau walipata kusoma Dodoma Central,na naiman kuna wadau walisoma pale,kwa mu0n0 wangu nahis wadau wa ukaguz kama walichelewa vile?ila nachoshauri ni kwamba wanafunz waliokua wanasoma hapo watafutiwe shule haraka,mamlaka husika ziwasaidie kwenye MCHAKATO wa UHAMISHO