Kwa waliosoma Kigonsera Ruvuma

Kwa waliosoma Kigonsera Ruvuma

jaman me ndo nipo pale xaiv....mbuzi cup tumemaliza tembo ndo mabingwa !
 
Ilikua ukisikia anauaaaa..ni mwendo wa speed mabwenini.nakumbuka mshkaji wangu mmoja alikua nyerere,Balugu akaja dorm,jamaa alikua bwenini akakimbilia chooni.Ticha akamfuata kulekule,wakaenda dorm jamaa akavaa nguo wakaongozana mpaka ofisini,walipofika mlango wa ofisi akamwambia jamaa amsubiri ampe karatasi ya kuandika maelezo,ile kuingia ofisini tu jamaa nduki,alipotoka ofisini ilibidi aanza kucheka tu.ilikua ni burudani sana Camp la Kygo....
Machaku nini?
 
Nilisoma pale 1963-1966. Namkumbuka sana Father Gotard, mwalimu Mahai, mwanafunzi mwenzangu kalubandike. Tulikuwa tunaiba sana mihogo ya bruda Lukundus.

Father Gothard alifariki mkuu, nilikuwa nampenda sana
 
Shelimo pia amefariki Disemba 20, 2022 alikua anaishi maeneo ya Pugu baada ya kustahafu.
 
ile ilikuwa zaidi ya shulee,,nilikuwa pale 2000 mpka 2002,,shelimoooo ni nyokoooooooooooo
We might be classmate

Nilikuwa block leader wa chui kwa muda mfupi katika kipindi hicho na winga teleza.

Namisi sana "vimbolo" aiseee
 
Back
Top Bottom