BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Wadau wa Compex habari popote mlipo,Mabibina mabwana ni mda mrefu tangu tumalize pale,Ninaposema Makanyagio unapata picha gani,nisemapo MJANE unakumbuka nini,nitamkapo KUDISOLVE je unanielewa.Mwisho kabisa msalimie Watende na Mbao Popote utakapowaona na watu wa phisics,UP, NA Garigo anawasalimu