ni kweli kabisa me nimesoms boyz na najua hali ilivyo boyz wengu ni wachafu c kwasababu hawapendi usafi bali ni mazoea ,hii ni sababu ya kukosekana gilz,siku wakija girlz shuleni utaprove hilo hakuna atakayeonekana mchafu cku hyo by x-boy umbwe2012
umenikumbusha mbali. Kwenda bafuni uchi yani nilikua naenda na sabun 2 na kopo ful kujiachia. Kuombana pedi darasani m2 anapta mbele ya darasa kuomba ped bila aibu. Mambo meng ya kitoto yan kusoma gelz ful maraha. Bt ila iliniafect coz nilikua naona aibu kupishana na wavulana had nikawa nataman kuwe na vyuo vya cngle.
Siku nilipolipoti form 5 (bwiru boys) bro mmoja aliyekuwa form 6 akanipeleka ziwani kwenda kuoga, ilipofika kesho yake nikamuuliza vp leo hatuendi? bro akacheka sana akaniambia eti mimi napenda mauzo, akasema hapa hakuna kuoga mpaka zipite 4daysDah....::kwanini boys wanakua wachafu
kaka kumbe na wewe ulikuwamdau wa channel e?? ikifika mida utasikia..."haya nyoya kalaleni"sio siri kuoga kwangu ilikua mbinde sana mara 2 au 3 kwa mwezi na hapo labda kue na joint mass wadada wanakuja, siku za nyama ama za wari mapemaaa mtu zimejaa DH, kali kuliko zote TV ilikua inatolewa ijumaa saa 11:30AM inarudishwa juma3 saa 12:00AM hapo mtu hazing'oki DH mtu anaingia na kidumu cha maji na bakuli yaani anakula na kusuuza chombo hapohapo milobmi3 yote, mida ya saa6 usiku J.mos na J.Pili utaona DH mtu zinajaa na Blankets mambo yetu yaleeee ya Chanel e yalikua yamepewa code name KP, kaka asigwa unakumbuka hizo??
kweli maisha yalikua poa sana miaka hiyo
Tabora Boyz 2009
Ndanda na Pugu boyz mpoo?
kaka kumbe na wewe ulikuwamdau wa channel e?? ikifika mida utasikia..."haya nyoya kalaleni"
hehehe