Kwa waliowahi kufanya usaili wa IT Security huko ajira portal msaada wa muongozo

Kwa waliowahi kufanya usaili wa IT Security huko ajira portal msaada wa muongozo

Joseph Gadiel

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2022
Posts
407
Reaction score
713
Wakuu habari,

Nimeitwa usaili wa IT Security hivyo nimekuja kuomba muongozo ikiwezekana possible za maswali. Kuna hatua tatu, usahili wa paper, practical na oral. Je nifanyaje niweze kufaulu?

Natanguliza shukrani
 
Kwenye practicals nilishawahi kufanya mambo ya penetration test, Je hata huko pia yapo?
 
Wakuu habari,

Nimeitwa usaili wa IT Security hivyo nimekuja kuomba muongozo ikiwezekana possible za maswali. Kuna hatua tatu, usahili wa paper, practical na oral. Je nifanyaje niweze kufaulu?

Natanguliza shukrani
Mkuu vipi ulifanikiwa?
 
Back
Top Bottom