Kwa waliowahi kusoma au wanaoifahamu "minaki high school''

yakiti's son

Member
Joined
May 19, 2013
Posts
12
Reaction score
0
Natumain ni wazma wote wana jf na kama wengne ni wagonjwa poleni..sina meng nahtaj kufahamu mambo mbalimbal kuhusu shule hii zkwepo garama zake kwa mwaka na mahtaji yake kama mwanafnz maana nmechaguliwa hapo PCM.
 
Subiri joining instruction form yote utayapata hayo! Shule ni bomba ni kongwe!
 
Inafunguliwa i think mwisho wa mwezi huu ,joining instruction zinatumwaga mashuleni mwenu o-level. We jipange dawa za fangasi na hela ya kununua maji ya kuoga..mengine utayashuhudia hko kwa Pcm kaza buti jipange mapema, serikalini ni ushirikiano na utafutaji hakuna urahisi, kwa experience yangu shule hii ni nzuri kwa hge na egm hata ukitazama matokeo, pcm inahitaji nguvu usiogope minaki ni pazuri.
 
oya vp khs msosi maana mi msosi kwanza then pindi na vp mazingira na majengo kwa ujumla
 
oya vp khs msosi maana mi msosi kwanza then pindi na vp mazingira na majengo kwa ujumla
Msosi wa Minaki uko poa maana utakula sembe, wali Mara mbili kwa wiki, pilau Mara moja, chai saa kumi na mbili asubuhi na uji saa tano ila tabu kubwa ni maji na fangasi. Kazi kwako
 
Msosi wa Minaki uko poa maana utakula sembe, wali Mara mbili kwa wiki, pilau Mara moja, chai saa kumi na mbili asubuhi na uji saa tano ila tabu kubwa ni maji na fangasi. Kazi kwako

umesahau mikate kw kifupi ipo poa sana hautajutia bro
 
dogo umebahatka sana kwan hapo kwa sasa mambo ni mazur msosi wa ukweli ktabu ndo mpago mzma so we jpange kwa msuli tu mazngra yapo poa sana ni wewe tu kuamua unatoka na ufaulu gan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…