kwa waliowahi kutumia lotion ya dodo

mwali wako

Member
Joined
Oct 22, 2018
Posts
36
Reaction score
29
Habarin bandugu,,Kama ambavyo heading inajinasibu hapo juu nahitaji kujua kama ni kati ya vile vyenye sumu. Japo sijaona vile viambatasumu ila nahofia tu kwahyo kama kuna aliyewah kutumia ama mtu wa karibu yake alimuonaje baada ya muda??


Natanguliza shukurani
 
Hiyo lotion ukipaka utang'aa sanaaa tena sanaaa but sio nzuri ni moja ya lotion zenye viambata sumu.nishatumia nilivojua ni miongon mwa vipodoz vinavyopigwa marufuku nikaacha. Ila ukipaka kuacha yahitaj moyo maana unakua too white
 
Hiyo lotion ukipaka utang'aa sanaaa tena sanaaa but sio nzuri ni moja ya lotion zenye viambata sumu.nishatumia nilivojua ni miongon mwa vipodoz vinavyopigwa marufuku nikaacha. Ila ukipaka kuacha yahitaj moyo maana unakua too white
ahsante,ulipaka yenyewe tu au kuna something ulichanganya?
 
Sikuchanganya na kitu ila nlikua natumia na sabun moja inaitwa pyary
tatzo langu mm nina uso Wa mafuta na na rangi ninayo sio mweusi, ila kila nikijaribu lotion za kawaida hizi naishia kuwa na chunusi na mafuta yanaongezeka.nimeshatumia zoazoa baada ya kusikia matangazo Yao, rinju na nyingine nyingi na ndipo nikajikuta nimeangukia kwenye hii kitu ila kwakeli sipendi cream kabisa
 
Dodo ukiipaka Sana mwisho inakudodoa. dodo, Gg na perfect white hizi watu wengi wamelia nazo!!

GG na Bio Claire umenikumbusha mbaliii, tuliletewa na sister angu enzi hizooo zilitupendeza balaa baada ya mwezi wee utango tango mwili mzima!!
 
GG na Bio Claire umenikumbusha mbaliii, tuliletewa na sister angu enzi hizooo zilitupendeza balaa baada ya mwezi wee utango tango mwili mzima!!
Ndio kawaida huwa hazikwepeshi
 
Nitafute mkuu
 
jaribu kutumia mafuta ya asili sidhani kama yana madhara kwa yoyote. kuna nazi, shea butter, mlonge,olive,parachichi, almond na mengineyo.heri kujaribu na cha asili kuliko creams.
 
jaribu kutumia mafuta ya asili sidhani kama yana madhara kwa yoyote. kuna nazi, shea butter, mlonge,olive,parachichi, almond na mengineyo.heri kujaribu na cha asili kuliko creams.
Umesahau jojoba..castor oil..hata neem oil
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…