Kwa waliowahi kuwatindua Mama Ntilie

Kwa waliowahi kuwatindua Mama Ntilie

Ulizingua sana Zero IQ.
Kama ulihofia kumfilisi banda lake, ungemuongezea mtaji ili akue kibiashara nawe uwe unapata Special order.

Ni halali akuchukie
Ni double ili anifirisi mtaji wangu wa kiepe
 
Ulizingua sana Zero IQ.
Kama ulihofia kumfilisi banda lake, ungemuongezea mtaji ili akue kibiashara nawe uwe unapata Special order.

Ni halali akuchukie
Niliona kama ana mpango wa kuamia flani hivi ile free ofa ilikuwa inanipeleka pabaya mkuu
 
Kweli kabisa kuna mmoja huku kijijini alikuwa Mashalaah! Nilikuwa natindua siunajua zile "site manager/engineer" hataki nilipe na anataka nguo zangu akazifue (hii kitu never try kabisa).Kwenye kuachana naye ilikuwa jambo la yeye kuleta Msaidizi Kiiiisu Balaa.Halafu mtoto akajigonga nikapita naye baada ya kugundua akamtimua kazi.Bahati nzuri contract yetu ilikuwa inaelekea ukingoni tukapotezana naye,
 
Umenikumbusha mwaka 2004 wali sahani 300 nusu 200. Ilikuwa msasani hiyo

Tofauti ni kwamba pamoja na kumtindua ilikuwa kila nikila nikatoa 500 chenji hairudi wakati huo nauli sh 150 nikaona ananiharibia bajeti

NIKAMTEMA Japo alikuwa mtamu na mzuri Amazing
 
😂😂😂😂😂😂😂😂weye ukimbie papuchi! Sema labda hukuipenda.

Wale viumbe wanakuwaga hatari sana alafu asilimia 90 ya mama ntilie wote wana chura flani na hipsi teketeke,

Kuna mmoja alikuwa na mgahawa karibu na gheto kwangu, sasa ile kwenda kula kila siku akaniletea mazoea na mimi Zero sikufanya iyana nikamdibua/kumkanya /kummenya kweli kweli,

Kesho yake Asubuhi kwenda kupiga supu hataki kupokea hela, mchana msosi kanipa free na jioni ikaenda kama wiki mbili hivi kila nikimpa hela anakataa na jioni anakuja namdibua kama kawa nikaona nisije nikamfirisi akafunga kibanda chake cha msosi nikatemana nae sasa hivi ananichukia kiasi kwamba ata nikitaka kwenda kununua msosi anavunga.

View attachment 1102057


Cc Zero IQ
 
Back
Top Bottom