Kwa waliowahi kuwatindua Mama Ntilie

Ulizingua sana Zero IQ.
Kama ulihofia kumfilisi banda lake, ungemuongezea mtaji ili akue kibiashara nawe uwe unapata Special order.

Ni halali akuchukie
Ni double ili anifirisi mtaji wangu wa kiepe
 
Ulizingua sana Zero IQ.
Kama ulihofia kumfilisi banda lake, ungemuongezea mtaji ili akue kibiashara nawe uwe unapata Special order.

Ni halali akuchukie
Niliona kama ana mpango wa kuamia flani hivi ile free ofa ilikuwa inanipeleka pabaya mkuu
 
Kweli kabisa kuna mmoja huku kijijini alikuwa Mashalaah! Nilikuwa natindua siunajua zile "site manager/engineer" hataki nilipe na anataka nguo zangu akazifue (hii kitu never try kabisa).Kwenye kuachana naye ilikuwa jambo la yeye kuleta Msaidizi Kiiiisu Balaa.Halafu mtoto akajigonga nikapita naye baada ya kugundua akamtimua kazi.Bahati nzuri contract yetu ilikuwa inaelekea ukingoni tukapotezana naye,
 
Umenikumbusha mwaka 2004 wali sahani 300 nusu 200. Ilikuwa msasani hiyo

Tofauti ni kwamba pamoja na kumtindua ilikuwa kila nikila nikatoa 500 chenji hairudi wakati huo nauli sh 150 nikaona ananiharibia bajeti

NIKAMTEMA Japo alikuwa mtamu na mzuri Amazing
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚weye ukimbie papuchi! Sema labda hukuipenda.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…