Kwa wamama na wadada .only...

ahh come on! niliipenda ndio maana nikazama PM kukutafuta na kukupa recommendation ...!! bahati mbaya nikakuta ninapotaka mimi kulala my sis ulishaamka kitambo.. na kupasahau.. hahaha


aaah! Jamani.... Siku nyingine unataka nijifanye sijawahi check? lol. \
Mimi am thinking bora nimeiona inakua rahisi when you watch it ndio tu discuss....
Told you mi movie holic hata kama ni Bollywood. lol
 



Yaani hii post kwa kweli inafaa kabisa hapa... Ndio mahala pake Haswa!!

Pamoja na yoote hayo nimecheka hadi tears zimelenga (Sorry Gfso but could not help it) Thank you for sharing...
 
naenda kumtengeneza huyu pedeshee hawezi kunidhalilisha nanma hii. Ngoja niruke kwa babu kama hajaongea mwenyewe sasa hivi . Lol !!
relax love siendi tena so utanitoa wkend hii?
 
kabla ya kuondoka naomba paswd na kitambuisho chako cha benki
 
yaani hii post kwa kweli inafaa kabisa hapa... Ndio mahala pake haswa!!

Pamoja na yoote hayo nimecheka hadi tears zimelenga (sorry gfso but could not help it) thank you for sharing...
teh teh ujue sis jana nilitoa thread watu wakanitukana kweli lakini ndo ivo mtu unatoka nao kutoana stress anaanza kulalamika oooh mama mkwe bati limechukuliwa na bati kijijini, choo cha shangazi yangu kimejaa , mke wangu anadaiwa upatu mtaa mzima yaani unajuuuta kumfahamu.
Mtu una stress zako mama yupo hosptal na oxygen ukitoka hapo pressure juu
wape tips za outing bwana hawa wanaume watatuua na pressure
 
Twende weekend gate away then. Umri sio kigego kwangu


Unakuwa na umri wa aina mbili.
Umri mmoja for weekend gateaways
Umri mwingine pale unapokumbwa na matatizo.



teh teh teh hii kali mkuu . hata mimi itabidi nifanye hivi siku hizi .
 
Reactions: EMT
Twende weekend gate away then. Umri sio kigego kwangu


Unakuwa na umri wa aina mbili.
Umri mmoja for weekend gateaways
Umri mwingine pale unapokumbwa na matatizo.


Me Love this... Ina maana haijalishi nipo 40's nikipanga kutoka na wewe for a Weekend getaway nakua kama a Lady wa early 20's, navalia thongs na bikinis kama underwear with lacy bras, a hot and crazy hairstyle, nice boots na the like. Nabadilisha kabisa hizi granny panties, cotton plaited skirts na the old fashioned wig I wear.... Am I right? lol

How old are you by the way? hahahah
 


Kabla sija comment naomba Link dear....
 

smile your right kabisa, mimi mtu anaanza ooh mke wangu hanipi unyumba, mara ooh ananiambia nimpasie nguo, mara hajawah hata kunifulia. kila siku mm ndio namfungulia geti. yaani nilichanganyikiwa nikasema sasa am I having fun or confused? hawa makaka hawajui nini maana ya raha bwana, wao wakiwa na mauchungu yao wanatafuta pa kulilia. kimsingi inaboa sana. itabidi wadada wa jf tuwaanzishie darasa la jinsi ya ku have fun na partner.
 

Kabisa.

How old are you by the way? hahahah
Umri kwako ni kigezo? Nilidhani ni fwedha kwa kwenda mbele?
 
Alafu wajameni namtafuta Nyani Ngabu, Kuna alie muona?
 
heri huyo wengine unapigwa na mzinga kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…