Kwa wamama na wadada .only...

Kwa wamama na wadada .only...

but Godfather hebu tuambie kwanza una uwezo wa kutoka na wangapi?tusije tukaregister kumbe huwez kutu accomodate
 
heri huyo wengine unapigwa na mzinga kabisa

huyo kiboko manake wa kupiga mzinga ni choka mbaya. But kabla hujaenda smile unamwambia kabisa nipe pswd yako na kadi ya benki na akuonyeshe salio, kama dogo achape lapa kimtindo. wanasema raha jipe mwenyewe.
 
Kabisa.


Umri kwako ni kigezo? Nilidhani ni fwedha kwa kwenda mbele?

Nataka ikitokea bahati mbaya nimekusababishia Brain Concussion
nijue jinsi ya kujitetea....lol. Hivo that plus the dough is a Plus.
 
Nataka ikitokea bahati mbaya nimekusababishia Brain Concussion
nijue jinsi ya kujitetea....lol. Hivo that plus the dough is a Plus.

Kwa hapo suala la umri litakuwa zaidi kwako.
Ni lazima uwe na aina mbili za umri hapo.
Otherwise, utakwenda na tsunami.
 
God Father na Preta siwaoni humu , au ndio wako bize na PM
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Jamani na mie nichukueni huko gate away, sijui hata ndo mtaa gani.
Msiniache, nakuja mbio
 
Kwa hapo suala la umri litakuwa zaidi kwako.
Ni lazima uwe na aina mbili za umri hapo.
Otherwise, utakwenda na tsunami.

Hilo tushamaliza.... Nipe tips nyingine... Do you like kuoga wawili? lol (hasa ikiwa Jacuzzi?)
 
Jamani na mie nichukueni huko gate away, sijui hata ndo mtaa gani.
Msiniache, nakuja mbio

Kama alivo sema Popiexo, Preta na God father naona wameondoka...lol

Subiri uongozane na Mimi na EMT. Inaweza kua three some kama utakubali uwe a lady kwa hii safari.
 
Hilo tushamaliza.... Nipe tips nyingine... Do you like kuoga wawili? lol (hasa ikiwa Jacuzzi?)

:nod::shock::shock::nod: I wish, I whish, I wish (Huu wimbo wa R. Kelly naupenda)

Wewe hata siku ya kufa utachelewa. Shauri zako.

Hivi kweli na wewe ungeniacha, hiyo Private Jet nani angesimamia usalama?
 
:nod::shock::shock::nod: I wish, I whish, I wish (Huu wimbo wa R. Kelly naupenda)


hahahaha.... Mbona hio Wish within reach kabisaaa!! Take note na wine pembeni Ice cream ya kuchafuana kwenye maji ili mpate sababu ya kendelea kukaa humo.....lol. Hapa Naona tu tumtumie R.Kelly kwenye step step step step...lol

(Tukitoka humo twavaa white and do some slow, lazy, sexy move dance.... tukiwa side by side and step by step :violin🙂
 
Back
Top Bottom