Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,619
siku hizi ana id mpya sema kusutwa sitakiAlafu wajameni namtafuta Nyani Ngabu, Kuna alie muona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siku hizi ana id mpya sema kusutwa sitakiAlafu wajameni namtafuta Nyani Ngabu, Kuna alie muona?
sea cliff
heri huyo wengine unapigwa na mzinga kabisa
Kabisa.
Umri kwako ni kigezo? Nilidhani ni fwedha kwa kwenda mbele?
sea cliff
Nataka ikitokea bahati mbaya nimekusababishia Brain Concussion
nijue jinsi ya kujitetea....lol. Hivo that plus the dough is a Plus.
God Father na Preta siwaoni humu , au ndio wako bize na PM
siku hizi ana id mpya sema kusutwa sitaki
Kwa hapo suala la umri litakuwa zaidi kwako.
Ni lazima uwe na aina mbili za umri hapo.
Otherwise, utakwenda na tsunami.
Jamani na mie nichukueni huko gate away, sijui hata ndo mtaa gani.
Msiniache, nakuja mbio
Jamani na mie nichukueni huko gate away, sijui hata ndo mtaa gani.
Msiniache, nakuja mbio
This sounds guwd! Lols..
Hilo tushamaliza.... Nipe tips nyingine... Do you like kuoga wawili? lol (hasa ikiwa Jacuzzi?)
Wewe hata siku ya kufa utachelewa. Shauri zako.
Hilo tushamaliza.... Nipe tips nyingine... Do you like kuoga wawili? lol (hasa ikiwa Jacuzzi?)
Kama alivo sema Popiexo, Preta na God father naona wameondoka...lol
Subiri uongozane na Mimi na EMT. Inaweza kua three some kama utakubali uwe a lady kwa hii safari.
Weee Mama Isaac, Isaac utamuacha na nani? lol
:nod::shock::shock::nod: I wish, I whish, I wish (Huu wimbo wa R. Kelly naupenda)