Kwa wamama na wadada .only...

Kwa wamama na wadada .only...

hahaha.... I love this song; Imenipa bitter sweet memories.... Na nakumbuka the first time nimesikiliza nikagundua wamechukua instrumental ya "I gat 5 on it" ya Luniz (ambayo pia I loved) especially the chorus.... Check!

I got five on it grab your 40 let's get keyed,
I got five on it messin wit that Indo weed,
I got five on it it's got me stuck and not go back
I got five on it ... tala lala lala laa(nimesahau the words hapa...lol)

Those were ze dayz. Nakumbuka enzi kuna gym moja uswahilini jamaa kila siku alikuwa anakuja na mredio wake mkubwa, anaweka tape (no CDs those days) aliyorekodi rap hiyo moja tuu both part A na B of the tape. Akimaliza zoezi huyo anazima na kuanza zake.

 
Last edited by a moderator:
Topic: Kwa wamama na wadada .only...

Mbona naona watu wenye ID za kiume wamejazana humu?

Nawasalimu tu jamani, wend njema!

Hizo ID ziliingia baada ya kuona wanawake tuliojitolea kwenda huko tumefurika.

Hivo unao waona hapa woote ni good samaritans... Ila bado kuna akina dada
wamepyaya partnere (Usishangae hapa ni Love Connect); Kuna mmoja atawafaa
kama Cantalisia atakubali mujaribu a threesome... Anaitwa Swts... OR mwingine Mama Isaac. lol
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kweli itabidi unihurumie tu tubadilishane, naweza nikalia ukikataa.

Nikuchukulie nit dress ya rangi gani?

hahahahah!! Ukiona hivi ujue napenda spooning....lol So you can guess....

Tutakua twabadilishana baada ya masaa. Kama nilivosema caring is sharing...lol
 
Hizo ID ziliingia baada ya kuona wanawake tuliojitolea kwenda huko tumefurika.

Hivo unao waona hapa woote ni good samaritans... Ila bado kuna akina dada
wamepyaya partnere (Usishangae hapa ni Love Connect); Kuna mmoja atawafaa
kama Cantalisia atakubali mujaribu a threesome... Anaitwa Swts... OR mwingine Mama Isaac. lol
Mmmh..Ashadii, na wewe upo kwenye list? Canta hawezi kukubali nafahamu! Ngoja nitoke tu kwenye huu uzi nisije kuonekana na mimi nipo kwenye msako!
 
Topic: Kwa wamama na wadada .only...

Mbona naona watu wenye ID za kiume wamejazana humu?

Nawasalimu tu jamani, wend njema!

Angalia Canta asikukute huku. Huku ni gateaway (in and out)
 
Those were ze dayz. Nakumbuka enzi kuna gym moja uswahilini jamaa kila siku alikuwa anakuja na mredio wake mkubwa, anaweka tape (no CDs those days) aliyorekodi rap hiyo moja tuu both part A na B of the tape. Akimaliza zoezi huyo anazima na kuanza zake.





hahahah.... Kila upandea wa hizo tapes zilikua ni 30 OR 45 minutes....

I can Imagine an hour of the same song, kipindi technology haina option ya repeat ya wimbo...lol
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Konny wewe Psychologist? Umejuaje napenda ukutani? lol

Tena napenda tukilala hivo sura iface ukuta not the other way round...:embarassed2:

Mmn itabidi nilale kulingana na wengine watakavyolala
 
Kweli itabidi unihurumie tu tubadilishane, naweza nikalia ukikataa.

Nikuchukulie nit dress ya rangi gani?


Mimi kwani nina shida Konny? I make the most of every moment, Uking'ang'ana huko mimi nalala chali mguu ulio upande wa kati naweka kipanga na kuegemeza kunako lol. Sitaki niseme mkona nitaweka vipi.... Nyt dress haijalishi rangi, smoothness is what matter ya hio material na how skimpy it looks on you....lol
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mmmh..Ashadii, na wewe upo kwenye list? Canta hawezi kukubali nafahamu! Ngoja nitoke tu kwenye huu uzi nisije kuonekana na mimi nipo kwenye msako!


Hapana mimi sipo huko... Umesahau mimi ndie kungwi wa Canta? Mie hapa niko kuchukua coz ya theory... full kubwabwaja. lol
 
Angalia Canta asikukute huku. Huku ni gateaway (in and out)
Ngoja nikimbie aisee..naweza kitatupiwa talaka ya fasta fasta.
Naona wewe umeweka kambi kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hapana mimi sipo huko... Umesahau mimi ndie kungwi wa Canta? Mie hapa niko kuchukua coz ya theory... full kubwabwaja. lol
Role yako kwa Canta siwezi kuisahau kabisa...mwisho wa hii sredi nitakutafuta unifahamishe ulichogain!
 
Ngoja nikimbie aisee..naweza kitatupiwa talaka ya fasta fasta.
Naona wewe umeweka kambi kabisa.


Ndio uzuri wa kutokuwa na chama. lol. Tena ukimbie fasta maana wameshaaza kuongelea spooning, forking, sijui na kulala chali mguu ulio upande wa kati unwekwa kipanga na kuegemeza kunako. Wewe nenda vekesheni tuu, weekend gateway hutaiweza. lol
 
Hizo ID ziliingia baada ya kuona wanawake tuliojitolea kwenda huko tumefurika.

Hivo unao waona hapa woote ni good samaritans... Ila bado kuna akina dada
wamepyaya partnere (Usishangae hapa ni Love Connect); Kuna mmoja atawafaa
kama Cantalisia atakubali mujaribu a threesome... Anaitwa Swts... OR mwingine Mama Isaac. lol



swts z the best! Try it,u'll never juta! Lol
 
Kwa mazoezi tu hayo kwenye avatar inaonesha flexibility ya hali ya juu.... Naamini hutakosa chance....lol

sure! But huyu ye kajitolea kuchunwa tu,4free,i ges..lol
 
For health and safety, no acrobat please.

avatar69726_1.gif

hahahah iyo ndo yenyewe sasa
 
Back
Top Bottom