The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,071
- 1,361
Kwema wakuu
KIla kitu kina mapungufu yake na mazuri yake hapa nataka kueleza mapungufu zaidi.
1.Haina real time kabisa mpaka u refresh ndo uweze kuona message na notifications.
2. Kwenye recently post zina jirudia rudia hata kama tayari umeshaisoma yaani inabdi ukiisoma itoke ila cha ajabu ndo hvo haifanyi
Nimetumia hii app kwa miaka 9 so nilichoandika hapa nina uhakika nacho.
KIla kitu kina mapungufu yake na mazuri yake hapa nataka kueleza mapungufu zaidi.
1.Haina real time kabisa mpaka u refresh ndo uweze kuona message na notifications.
2. Kwenye recently post zina jirudia rudia hata kama tayari umeshaisoma yaani inabdi ukiisoma itoke ila cha ajabu ndo hvo haifanyi
Nimetumia hii app kwa miaka 9 so nilichoandika hapa nina uhakika nacho.