Mkuu umenipa hamasa sana kuhusu hii mashine...Nina mambo machache nataka nikuulize........ila Nissan note haijahongwa kama vitz na ist..[emoji23][emoji23]
1..kwa upande wa uimara ninclass moja na hizo ist, raum na nyinginezo za size hiyo.Mkuu umenipa hamasa sana kuhusu hii mashine...Nina mambo machache nataka nikuulize.
1. Vp kuhusu uimara wake kwenye hizi barabara zetu za kizalendo ukilinganisha na brands za Toyota km ist,raum,allex etc...
2. Vp inafaa kuinyanyua kidogo ili isigonge chini
3. Inagharimu kiasi gani cha pesa ukiagiza toka Japan???
Aksante sana
Uzi huu ni wa Nissan. Habari zako za Toyoda zinachafua uzi.Mkuu kuna kitu cha toyota rav 4 old model au toyota ist old model,fasheni zake zimepita lakini bei zake show rooms hazijawahi kupungua,hapo imekaaje??
Nissan civillian ni kama kanisa la KKKT wakati Coaster ni kama kanisa la Roma... KKKT inakuja juu sana. Miaka michache ijayo, Roma watakaa chini ya KKKT... Kwa sasa KKKT ndo kanisa lenye majengo makali hapa mjini.No wonder Nissan Civilian City Buses zimekuwa nyingi kuliko Toyota Coaster sahivi. Hongera wapenzi wa Nissan!
Mkuu umenipa hamasa sana kuhusu hii mashine...Nina mambo machache nataka nikuulize.
1. Vp kuhusu uimara wake kwenye hizi barabara zetu za kizalendo ukilinganisha na brands za Toyota km ist,raum,allex etc...
2. Vp inafaa kuinyanyua kidogo ili isigonge chini
3. Inagharimu kiasi gani cha pesa ukiagiza toka Japan???
Aksante sana
hahaha kumbe ndio hivyo, ila civilian zinakuja kwa ukali sanaNissan civillian ni kama kanisa la KKKT wakati Coaster ni kama kanisa la Roma... KKKT inakuja juu sana. Miaka michache ijayo, Roma watakaa chini ya KKKT... Kwa sasa KKKT ndo kanisa lenye majengo makali hapa mjini.
Nimecheka sana....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzi huu ni wa Nissan. Habari zako za Toyoda zinachafua uzi.
absolutely truth.....japo kuna watu watabisha.....Nimenunua Nissan note mbili tofauti, ya 2008 na 2009.
Kwa maoni yangu ni gari Bora sana kuzidi gari ya class yake kama spacio ambayo inafanana sana na Note.
Jamaa yangu alikuwa na Spacio nami nikawa na note,
Driving feeling ya hizi gari mbili ni tofauti sana. Ukiwa na note utahisi gari inakamata Barabara vzr wakati spacio ni kama haishiki barabara.
Uimara wa vifaa ni mkubwa, mfano mimi huwa nasafiri nayo safari nyingi sana. Unaweza mguu ukawa una kelele lakini ninatumia mwaka mzima bila shida.
Kwa maoni yangu, Nissan Note ni gari ngumu sana japo wengi Hawaijui.
Mengine yote, majibu ni kama aliyokupa mdau.
1..kwa upande wa uimara ninclass moja na hizo ist, raum na nyinginezo za size hiyo.
2.Matatizo common niliyokutana nayo ni kuisha kwa wish bone bush kwenye miguu ya mbele..
Hizi bush zipo mbili...moja kila upande...huwa nanunua 20k each kwa mwaka mara moja coz kila siku napita nayo angalau km 2 rough road...na rough road ninayozungumzia ni huku meru..mawe mawe na vilima...
3..yangu niliinyanyua kwa kuweka spacer za nchi moja coz hii gari mara nyingi inakuja na rim size 14 Tyre 175/65 r14....so inakuwa ipo chini...
.....mwisho ....haya magari yote madogo ya kuanzia 2005 haijqlishi ni NISSAN, TOYOTA, HONDA, MAZDA nk.....yana uimara unakaribiana kwa karibu sana.....
kwa hiyo suala kubwa ni utunzaji na nidhamu.
5. Bei kule beforwad FOB zipo mpaka 800$.....CIF kuanzia hata 1800 kulingana na mileage
Una uhakika mkuu...Nissan civillian ni kama kanisa la KKKT wakati Coaster ni kama kanisa la Roma... KKKT inakuja juu sana. Miaka michache ijayo, Roma watakaa chini ya KKKT... Kwa sasa KKKT ndo kanisa lenye majengo makali hapa mjini.
Aksante sana Mkuu...Nimenunua Nissan note mbili tofauti, ya 2008 na 2009.
Kwa maoni yangu ni gari Bora sana kuzidi gari ya class yake kama spacio ambayo inafanana sana na Note.
Jamaa yangu alikuwa na Spacio nami nikawa na note,
Driving feeling ya hizi gari mbili ni tofauti sana. Ukiwa na note utahisi gari inakamata Barabara vzr wakati spacio ni kama haishiki barabara.
Uimara wa vifaa ni mkubwa, mfano mimi huwa nasafiri nayo safari nyingi sana. Unaweza mguu ukawa una kelele lakini ninatumia mwaka mzima bila shida.
Kwa maoni yangu, Nissan Note ni gari ngumu sana japo wengi Hawaijui.
Mengine yote, majibu ni kama aliyokupa mdau.
Aksante sana Mkuu...
Vp mpaka kuliweka barabarani ilikugharimu Tsh. ngapi???
Poa poa...Niliagiza lea 5.5 nikaitoa kwa 6.4 hivi. Nilimtumia kama 13 fulani hivi. Labda kwa kuwa ni ya 2009 na niliiagiza last year
Mkuu umenipa hamasa sana kuhusu hii mashine...Nina mambo machache nataka nikuulize.
1. Vp kuhusu uimara wake kwenye hizi barabara zetu za kizalendo ukilinganisha na brands za Toyota km ist,raum,allex etc...
2. Vp inafaa kuinyanyua kidogo ili isigonge chini
3. Inagharimu kiasi gani cha pesa ukiagiza toka Japan???
Aksante sana
Sasa utahonga kitu kisicho na demand huko mtaani?.......ila Nissan note haijahongwa kama vitz na ist..[emoji23][emoji23]
Uzi huu ni wa Nissan. Habari zako za Toyoda zinachafua uzi.
Nissan Rasheen! Datsun...Heshima kwenu wakuu,
Binafsi ningependa kwa wale wote ambao wamewahi kumiliki au wanamiliki na wale wenye ndoto za kumiliki magari ya kampuni ya NISSAN tukutane hapa tubadilishane uzoefu kulingana na aina ya NISSAN unayomiliki au uliyowahi kumiliki.
Ingependeza utueleze gari hilo la nissan umelimiliki kwa muda gani na ni changamoto zipi za kiufundi umekutana nazo na ulizitatua namna gani.
Hii inaweza kutusaidia kuondokana na dhana kwamba magari ya TOYOTA ndiyo yanayofaa kwa Tanzania na si vinginevyo.
Tukubali kwamba kuna kampuni nyingi za magari tofauti na TOYOTA za Japan na nje ya Japan ambazo zinatengeneza magari mazuri sana kuliko hata yale ya Toyota ila shida inakuja kwa mafundi wetu wanatukaririsha kuwa toyota ndiyo gari bora.
Kwa kuanzia labda niorodheshe baadhi ya models za NISSAN ambazo zimekuwa common hapa Tanzania.
1. Nissan Patrol
2. Nissan Safari
3. Nissan Murano
4. Nissan Elgrand
5. Nissan Serena.
6. Nissan Fuga
7. Nissan Dualis
8. Nissan X-Trail
9. Nissan Skyline
10.Nissan March
11.Nissan Tiida
12. Nissan Note
13. Nissan Blue bird
14. Nissan Sunny
15. Nissan Caravan
16.Nissan Juke
17.Nissan Terano
18. Nissan Wingroad
Unaweza kuongezea Nissan nyingine ambayo sijaitaja hapo.
Karibu tubadilishane uzoefu.View attachment 1055107
Sent using Jamii Forums mobile app
Anything that simplifies work is a machine...huenda labda sikumuelewa mwalimu wangu wa physics...nisahihishe Mkuu...Nissan note nayo unaiita machine?hahah