Kwa wana Diaspora tunavyomfahamu Zuhura Yunus, ni Mtanzania ila Salim Kikeke ni raia wa Uingereza

Kwa wana Diaspora tunavyomfahamu Zuhura Yunus, ni Mtanzania ila Salim Kikeke ni raia wa Uingereza

Una akili za kitoto sana

Bado una uelewa mdogo sana wa mambo

Maisha sio nafasi serikalini tu, Gerson Msigwa baada ya kuacha ile nafasi, Umewahi kutana nae ukamuona alivyo kwa sasa?

Huyo Zuhura hata angekataa hiyo nafasi ana exposure kubwa sana na yupo 100 steps more kuliko huyo alieachishwa Haniu au mstaafu Gerson Msigwa

Unaandika kama mtoto wa chekechea, Unachoandika hakijulikani ni hotuba, Risala, Ngonjera au Shairi

Uandishi wako umekaa kama mtu aliyezidiwa na pombe
Wewe una visa na Beatrice, haikusaidii lolote.
Uandishi wako wewe ndio wa chekechea. Mtu aliyestaarabika , civilized, hawezi nimeandika mwenzake katika ngeli yako ya kihuni na uncooth. Take care!
 
Bila shaka mamlaka zetu huwa zinafanya vetting, kama kweli mhusika si Mtanzania na hajawahi kuukana uraia wa Uingereza basi itakuwa ni big failure kwa mamlaka na system nzima na binafsi itanifanya niamiani either kuna vilaza kwenye system na watu wasio serious au hakuna coordination kwenye ufanyaji wa kazi kati ya mamlaka za uteuzi na wazee wa vetting.
 
Mkuu vijana wanatamani kutoka ila ukiritimba wanaoletewa pale immigration utashangaa.

Watanzania wana upendo kwenye mambo yasiyo na tija sana kama Simba na Yanga.

Ila mtu akipata chance ya kwenda ughaibuni kwanza ndugu wataanza wivu ,mara usiende huko hakuna issue basi wamkatishe tamaa na akienda akafanikiwa basi mzigo wa matatizo yao wanamsukumizia yeye.

Suala la mentality ya watanzania walio nje ilizidi kuonekana awamu ya 5 nchi ilipotea kidiplomasia na yule dikteta akafanya tulio nje tuonekane sio wazalendo kumbe hakuna uhalisia wowote.
 
Bila shaka mamlaka zetu huwa zinafanya vetting, kama kweli mhusika si Mtanzania na hajawahi kuukana uraia wa Uingereza basi itakuwa ni big failure kwa mamlaka na system nzima na binafsi itanifanya niamiani either kuna vilaza kwenye system na watu wasio serious au hakuna coordination kwenye ufanyaji wa kazi kati ya mamlaka za uteuzi na wazee wa vetting.
Kuna vetting inafanyika wapi? anateua la saba kuwa RAS-Shinyanga asubuhi anatengua mara UVCCM mkuu wa bandari kesho anatengua. Hakuna vetting yoyote mkuu
 
Nimefuatilia taarifa zinazosambaa kwamba Zuhura Yunus ni raia wa Uingereza nachelea kuziamini na kama Zina ukweli basi atakuwa ameupata huo Uingereza Kwa Siri sana. Nafasi aliyopewa lazima tukubali mambo makuu matatu...
Maza sahivi anachoangalia ni uislamu mengine baadae
 
Kwani yule jamaa aliyepata Nobel ni mtanzania au ni mbrit. Yule mchezaji wa mpira aliyewakilisha denmark kwenye kombe la dunia ni mtanzania au ni mdani.

Tanzania tujifunze kwa nchi nyingine kuamini kuwa damu ya kitanzania ni ya kitanzania tu, haigeuki. Ona mifano hii: Naomi Osaka mchezaji wa tennisi, mama yake ni mjapan na yeye mwenyewe alizaliwa. lakini tangu akiwa na miaka mitatu hajaishi japan, amekulia Marekani, ila bado japana inamtambua kuwa ni mtu wao japokuwa sasa hivi ana uraia wa marekani. Kuna jamaa Armand Gustav "Mondo" Duplantis amezaliwa na kukulia marekani wala hajwahi kuishi Sweden ila kwa kutembelea tu, ila kwa kutumia mama yake ambaye ni msweden, aliiwakilisha sweden kwenye mashindano ya olympic na kuzoa medali. Lakini Tanzania mtu akishakuwa na link na nchi ya nje tu, anakuwa ni adui; hata kama wazazi wake wote ni watanzania, na huenda ana nyumba Tanzania.
Hatuna uraia pacha
 
Kwani yule jamaa aliyepata Nobel ni mtanzania au ni mbrit. Yule mchezaji wa mpira aliyewakilisha denmark kwenye kombe la dunia ni mtanzania au ni mdani.

Tanzania tujifunze kwa nchi nyingine kuamini kuwa damu ya kitanzania ni ya kitanzania tu, haigeuki. Ona mifano hii: Naomi Osaka mchezaji wa tennisi, mama yake ni mjapan na yeye mwenyewe alizaliwa. lakini tangu akiwa na miaka mitatu hajaishi japan, amekulia Marekani, ila bado japana inamtambua kuwa ni mtu wao japokuwa sasa hivi ana uraia wa marekani. Kuna jamaa Armand Gustav "Mondo" Duplantis amezaliwa na kukulia marekani wala hajwahi kuishi Sweden ila kwa kutembelea tu, ila kwa kutumia mama yake ambaye ni msweden, aliiwakilisha sweden kwenye mashindano ya olympic na kuzoa medali. Lakini Tanzania mtu akishakuwa na link na nchi ya nje tu, anakuwa ni adui; hata kama wazazi wake wote ni watanzania, na huenda ana nyumba Tanzania.
Ni mifano mizuri

Bahati mbaya hoja hapa ni position aliyopata Zuhura

We can claim all we want, like janjaweed ni muingereza of Tanzania origin , lakini kuna limitations za status hiyo

Nafasi nyeti kama za state house mara nyingi ni za ndani Kwa raia
 
Back
Top Bottom