Kwa wana mahesabu

Kwa wana mahesabu

Kigoma 2015

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2011
Posts
371
Reaction score
93
Kwa wale watu wa hesabu hebu tusaidieni hili.....................



MATH.jpg
 
11 x 11=121 ->1+2+1=4
22 x 22=484 ->4+8+4=16
33 x 33=1089 ->1+0+8+9=18
44 x 44=1936 ->1+9+3+6=19 etc
 
Nilidhani swali la ukweli kumbe utoto utoto tu! Alaah! Tupia ngoma za kiutu uzima bana ! Alaaaah!
 
Mkiwa na shida yoyote ya hesabu nyie semeni msihofu maana kuna watu huku tumebobea kwa hesabu. Kwa pamoja hesabu inawezekana na ni rahisi mno. Nasema hvyo kwa vile kwenye hesabu kama unajua itakuwa hvyohvyo tuu na si vinginevyoa
 
(3+3)(3+3)=36 ila kwa nn ubuni hesabu wakati inahitaji formula!

Mkuu inaonekana hukusoma zile enzi za andika namba inayofuata katika mfulululizo huu....mfano 2, 4,8.....Hesabu kama hizi huwa hazina kanuni wakati mwingine haihitaji kuumiza akili sana
 
Back
Top Bottom