Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
SawaAcha fitina ndugu. Roho mbaya tu inakusumbua.
Huyo ndio mwenyekiti wako ajaye umeshindwa hoja mezani unakimbilia kwenye keyboard
Hahahaha hahahaha ukimchunguza Sana kuku/bata hutamla! Unataka akaajiriwee na akilimali company ltd??View attachment 1086910
Mfahamu anayegombea nafasi ya uenyekiti Yanga SC.
- Anaitwa Dr. Mbette Mshindo Msolla.
- Mtaalamu Mbobezi wa kilimo.
-Hajawahi kuwa kocha wala hana taaluma ya ukocha.
- Aliyekuwa kocha wa Taifa Stars ni kaka yake.
-Ni mwanachama wa Yanga SC lakini ni muajiriwa katika kampuni moja wapo la MO-Dewji.
Wanachama wa Yanga SC, Naomba tuwe makini hapa! Huyu anayegombea sio yule kocha na analitumia jina la kaka yake vema ili kutuchanganya.
HAWA WAGENI WANAOIBUKA IBUKA KIPINDI NYETI ,TUWE NAO MAKINI.
UnajisikiaJe huko uliko??View attachment 1086910
Mfahamu anayegombea nafasi ya uenyekiti Yanga SC.
- Anaitwa Dr. Mbette Mshindo Msolla.
- Mtaalamu Mbobezi wa kilimo.
-Hajawahi kuwa kocha wala hana taaluma ya ukocha.
- Aliyekuwa kocha wa Taifa Stars ni kaka yake.
-Ni mwanachama wa Yanga SC lakini ni muajiriwa katika kampuni moja wapo la MO-Dewji.
Wanachama wa Yanga SC, Naomba tuwe makini hapa! Huyu anayegombea sio yule kocha na analitumia jina la kaka yake vema ili kutuchanganya.
HAWA WAGENI WANAOIBUKA IBUKA KIPINDI NYETI ,TUWE NAO MAKINI.
VP hukooo??ATOSWE TU..KIBARAKA WA MO..NDIO MAANA MANARA ANAMPIGIA DEBE
Kazi ipoVP hukooo??
Niko poa kabisa, ni mjumbe wa Yanga mchaguliwa tunaanza kuijenga Yanga yetu mpya baada ya uchaguzi,mengine yameshapitaUnajisikiaJe huko uliko??
Simba hoyeeee
πππHahahaha hahahaha ukimchunguza Sana kuku/bata hutamla! Unataka akaajiriwee na akilimali company ltd??