Kwa Wanachama wa TAHA, nataka kujiunga

Kwa Wanachama wa TAHA, nataka kujiunga

Bora wewe rafiki yangu aliuziwa mbegu mbovu, yaani yule msimamizi wa TAHA akamuelekeza mbegu na kumsimamia tena hiyo mbegu akauziwa bei juu mno ni ilr tikiti isiyo na soko sababu inaoza haraka yaani ikilala kesho yake yanatoa maji.

50000!!! Mie sikuona msaada wao niwe mkweli...nilikua najishughulisha na kilimo cha strawberry ..sana sana unaenda tu kusogoa! Nimeachana na kitu kinachoitwa kilimo! .
Kila la heri
 
wana agronomists wazuri sana na wapo up-to-date kama Kenya. Ada ya uanachama ni laki 1 kwa mwaka, wanakutembelea shamba mara kwa mara bila kulipa chochote.

Unatakiwa kujipanga kifedha na kuwa mvumilivu kwasabababu masharti yao ni mtihani kwa mtu asiyekuwa serious na kilimo
O763718849 afisa huduma za uanachama
Huduma yao inaishia mikoa gani? Mimi nina shamba Kakonko mkoani Kigoma, wanaweza kufika huko?
 
Back
Top Bottom