Sasa hivi wapo serious na kazi, Kila agronomist amepewa kata. Mikoa yote ya nyanda za juu tunafanya nao kazi bila matatizo. Kuhusu kutafuta masoko sijawahi kuwatumiaLabda Arusha sio Moro
Sasa hivi wapo serious na kazi, Kila agronomist amepewa kata. Mikoa yote ya nyanda za juu tunafanya nao kazi bila matatizo. Kuhusu kutafuta masoko sijawahi kuwatumia
Sent using Jamii Forums mobile app
50000!!! Mie sikuona msaada wao niwe mkweli...nilikua najishughulisha na kilimo cha strawberry ..sana sana unaenda tu kusogoa! Nimeachana na kitu kinachoitwa kilimo! .
Kila la heri
Huduma yao inaishia mikoa gani? Mimi nina shamba Kakonko mkoani Kigoma, wanaweza kufika huko?wana agronomists wazuri sana na wapo up-to-date kama Kenya. Ada ya uanachama ni laki 1 kwa mwaka, wanakutembelea shamba mara kwa mara bila kulipa chochote.
Unatakiwa kujipanga kifedha na kuwa mvumilivu kwasabababu masharti yao ni mtihani kwa mtu asiyekuwa serious na kilimo
O763718849 afisa huduma za uanachama