Sekibuju
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 315
- 132
Vigezo:
1. Muislam
2. Elimu ya juu
3. Anajua dini
4. Muonekano mzuri na kuvutia
5. Mweupe au maji ya kunde
6. Umri 24-29
7. Mwenye Tabia Nzuri
8. Kama bado anasoma, awe mwaka wa mwisho.
Kama unaendana na vigezo hivyo tafadhali ni PM ndipo utakapojua sifa zangu.
NB: Naomba kwa wenye vigezo tu ndio watume PM.
1. Muislam
2. Elimu ya juu
3. Anajua dini
4. Muonekano mzuri na kuvutia
5. Mweupe au maji ya kunde
6. Umri 24-29
7. Mwenye Tabia Nzuri
8. Kama bado anasoma, awe mwaka wa mwisho.
Kama unaendana na vigezo hivyo tafadhali ni PM ndipo utakapojua sifa zangu.
NB: Naomba kwa wenye vigezo tu ndio watume PM.