Kuna maagizo kuwa kila mwanafunzi lazma awe na barua iliyopitishwa kwa m/kiti wa kijj,mtendaji wa kata na mkuu wa wilaya,nakala za muundo wa barua hizo zimetumwa jana kupitia anuan zenu hivyo basi ni vema kuangalia mara kwa mara kwenye posta zenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.