Kwa Wanajamii watz waishio Nairobi-Kenya na wanaotegemea kuja matembezi Nairobi

Kwa Wanajamii watz waishio Nairobi-Kenya na wanaotegemea kuja matembezi Nairobi

Genekai

R I P
Joined
Feb 9, 2010
Posts
12,514
Reaction score
4,998
Nawakaribisha wanajamii forum wanaokaa Nairobi ili tuweze kukutana na kupeana mawaidha live. Nimekaa hapa Nairobi kwa muda sasa lakini sijawahi kukutana na mtz aliyeko kwenye jamii, kila ninayekutana naye nauuliza kama yuko hapa ananambia hapana. Hata watz wanajamii watakaokuja Nairobi tutafutane jamani tuweze kuonana na kupeana mawili matatu bila kjali hitikadi na mitazamo yetu, hata kaka MS namkaribisha kwa moyo mweupe. Nawasikisha!
 
Mkuu khasante yakhee, dah nilikuwa hapo last week nilikiona kimbembe maana nilikata ticket hizi za vijiweni hahaha kufika hapo Presicion air wakasema sina ndege labda eti nisubiri one week ndo ntapata nafasi, sikuwa na mtu hapo na mizigo yangu yote ilikuwa bongo mana nilimiss flight DUBAI so all ratiba ikavurugika...nilipanda bus next day...natarajia kuja hapo tena desember kama vipi tutawasiliana mkuu..

ITABANYA BALASI
 
Mkuu khasante yakhee, dah nilikuwa hapo last week nilikiona kimbembe maana nilikata ticket hizi za vijiweni hahaha kufika hapo Presicion air wakasema sina ndege labda eti nisubiri one week ndo ntapata nafasi, sikuwa na mtu hapo na mizigo yangu yote ilikuwa bongo mana nilimiss flight DUBAI so all ratiba ikavurugika...nilipanda bus next day...natarajia kuja hapo tena desember kama vipi tutawasiliana mkuu..

ITABANYA BALASI
Karibu!
 
Tutakuja Genekai ...tunashukuru kwa ukaribisho wako ..
 
Nitakutafuta siku nizuka hapa kwa Kibaka (sorry Kibaki)
 
Nawakaribisha wanajamii forum wanaokaa Nairobi ili tuweze kukutana na kupeana mawaidha live. Nimekaa hapa Nairobi kwa muda sasa lakini sijawahi kukutana na mtz aliyeko kwenye jamii, kila ninayekutana naye nauuliza kama yuko hapa ananambia hapana. Hata watz wanajamii watakaokuja Nairobi tutafutane jamani tuweze kuonana na kupeana mawili matatu bila kjali hitikadi na mitazamo yetu, hata kaka MS namkaribisha kwa moyo mweupe. Nawasikisha!

Wewe genekai acha uzushi, sasa unataka tukionana tujitambulishe majina yetu ya humu ndani au nikuambie nimepata ujumbe wako humu huna haja ya kujua mimi ninani. By the way Nairobi kubwa, sasa tutakupataje? Mbona hujaacha namba zako za simu?
 
Wewe genekai acha uzushi, sasa unataka tukionana tujitambulishe majina yetu ya humu ndani au nikuambie nimepata ujumbe wako humu huna haja ya kujua mimi ninani. By the way Nairobi kubwa, sasa tutakupataje? Mbona hujaacha namba zako za simu?
Waweza kuniita mzushi au jina lolote na cheo chochote utakacho kama utapata furaha moyoni, lakini hadi natuma hii thread hakuna alonambia niilete hapa bali nimeamua mwenyewe, kuhusu majina mbona tunafahamiana wengi tu hapa jamvini kwa majina, ninalotumia kama id ni majina yangu mawili kwa taarifa yako. Kuhusu namba ya simu sioni kama ni tatizo kuipata naweza kukupatia kwa njia yoyote ambayo ni descent. Kuhusu ninapo kaa ni kuwa nakaa Karen hapa hapa Nairobi. Narudia tena karibu kwa moyo mkunjufu!
 
Asante Genekai, njiani soon:llama::llama::llama:
 
Nawakaribisha wanajamii forum wanaokaa Nairobi ili tuweze kukutana na kupeana mawaidha live. Nimekaa hapa Nairobi kwa muda sasa lakini sijawahi kukutana na mtz aliyeko kwenye jamii, kila ninayekutana naye nauuliza kama yuko hapa ananambia hapana. Hata watz wanajamii watakaokuja Nairobi tutafutane jamani tuweze kuonana na kupeana mawili matatu bila kjali hitikadi na mitazamo yetu, hata kaka MS namkaribisha kwa moyo mweupe. Nawasikisha!
Mkuu mimi nipo Kibera.
Karibu sana ukipata muda, ingawa watu watakutisha kuwa sio salama lakini nakuhakikishia kuwa hakuna sehemu poa Kenya nzima kuliko Kibera. Nipo hapa na wenyeji wako poa.
Ukuje pande hii
 
Back
Top Bottom