Kwa wanakwaya wote!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Najua wanakwaya mtakuwa mmesharudi nyumbani baada ya ibada makanisani!hii pia unawahusu wale wote tulio wahi kuwa wanakwaya makanisani,tuka -staafu,staafishwa,fukuzwa nk ! Nahata washabiki na wapenzi wakwaya na walio karibu na wanakwaya!!!!!
Hebu fikiria jinsi kwaya ilivyokusaidia au inavyokusaidia katika maisha yako ya mapenzi!
Tuongee ukweli !bila kujali sana imani zetu,
naanza mimi kwaya ilinifanya niingie kwenye mahusiano ambayo sikuyategemea!sijuti sana !ila nasikitika
 
teh teh teheeee anha ha ha ha haaaa! Pole saana , ulikua kwaya master, mpiga kinanda, sololist, mwl wa kwaya au..... Maana haao!
 
kwaya ngengine zinazaa ndoa takatifu:smile-big:
 
kwaya ngengine zinazaa ndoa takatifu

ingawa nyingi zinaanza na uzinifu!
 
Mahusiano ya kingono nna mapenzi siyo mageni sana katika vikundi vya kwayauanendelea. Mahusiano haya yanapendeza ikiwa tu yanalengo jema la ndoa lakini kama ni kwa uzinzi ni tatizo kubwa sana na ndilo tunaloliona kwenye kwaya nyingi zinazotuimbia na kutuzunguka.
Inapotokea kwaya inasafiri kwenda nje ya eneo lao hali huwa ni balaa kwani ni kama uzinzi na ulevi umepewa kibali. "Mungu na atusaidia, hatukufika bali tunaendelea"Mch Abiud Misholi(Tenda Miujiza2010):amen:
 
Kwaya NGENGINE zinazaa watoto nje ya ndoa + kutengwa na kanisa
 
Usinikumbushe Mkuu! Kiranga cha kwaya kimeniweka sayari nyingine kabisa. Nina mengi mie jamani juu ya KWAYA.
 
kwani kaswida ni aina gani ya muziki?
 
Dah!msinikumbushe nilikua sololist,yaliyotokea,ctaki kukumbuka ila kama hamjasimama vizuri katika imani huko ni ngono kwa kwenda mbele
 
dah kwaya mh acha tu wengine tulizianzia sekondari ktk joint masses afu ukishazoea mambo yetu yale kwa mgongo wa kwaya ni ka ulemavu huwezi tongoza demu mwingine ambaye si mwanakwaya ndo mana unakuta kila sehemu mtu akienda cha kwanza anajiunga na kwaya hata ka atakaa muda mfupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…